BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Acha kujifanya unanijua mimi nakukimbia umande wapi na wapi!? 😳😳😳
Ningekuwa nimekimbia umande ningekuwa na najikomba kwenye hilo genge la wahuni la maccm ili nipate TEUZI.
Ningekuwa nimekimbia umande ningekuwa na najikomba kwenye hilo genge la wahuni la maccm ili nipate TEUZI.
Acha kulia lia,mlipokimbia umande,mkakataa kusoma,ndio faida yake hiyo.Mliambiwa msome,mkawa mnatoroka shule.'Mshike sana elimu,usimuachie',mlionao ni maneno ya utani