Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,259
- 4,129
Je, kuna ukweli au ni hypothesis ambayo ni kama utabiri hauna ithibati yoyote na ni street words tu.
Mbona tunawaona baadhi wanaofanya kazi kwenye hayo mashirika na hali zao ni za kawaida sana na wengine ndio wanaongoza kwa kusumbua watu January.
Yes, ma DG kwenye hizo taasisi mishahara yao ni kuanzia 15M kwa mwezi. lakini DG ni mmoja kwa taasisi nzima.
Kwangu mimi kutoboa ni kutokosa kuanzia mil 300 kwenye Ac yako huku ukiwa na investment nyingine mtaani.
Kuna mtumishi kama Afisa wa hizo taaasisi ametoboa kwa definition yangu hapo juu?