TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,893
- 3,423
Salam kwenu wakuu
Je ni kweli kilowatt zinazoandikwa kwenye mafrige ni za kweli kuanzia ni nunue kifrige changu tena kipya matumizi ya umeme ya mepaa sana
Kimeandikwa kwh113 kwa mwaka am ago ukigawanya kwa siku ni uniti 0.3 lakini inakula karibia unit 2
View attachment 2792130
Je ni kweli kilowatt zinazoandikwa kwenye mafrige ni za kweli kuanzia ni nunue kifrige changu tena kipya matumizi ya umeme ya mepaa sana
Kimeandikwa kwh113 kwa mwaka am ago ukigawanya kwa siku ni uniti 0.3 lakini inakula karibia unit 2
View attachment 2792130