Je, ukimkata Nyoka mkia ataendelea kuishi?

Je, ukimkata Nyoka mkia ataendelea kuishi?

Nyoka huyo lazima ataota mkia na lazima atataka kulipiza kisasa hivyo huna budi kumtafuta na kummaliza kabla yeye haja recover na kuanza kukusaka.
 
Anaendelea kuishi ukitaka uelewe zaidi nyoka ukiwa nae mshike mkia anakung'ata au kutemea Sumu ila ukimzuia kichwa chake atatapatapa Tu manake gonga kichwa anakufa mazima
 
Dar mbezi ya kimara
Sijafanikiwa kuiona picha clear na kumjua ni nyoka yupi ila kwa size ya mkia nikilinganisha na ukubwa wa paving itakuwa ni mmoja wa jamii ya sand snakes ambao wengi wao ni Harmless kwa binadamu....
 
Sijafanikiwa kuiona picha clear na kumjua ni nyoka yupi ila kwa size ya mkia nikilinganisha na ukubwa wa paving itakuwa ni mmoja wa jamii ya sand snakes ambao wengi wao ni Harmless kwa binadamu....
Ni mweusi mkuu
 
Kama hujamkata cloaca(kile kiungo cha kunyea na kutagia mayai) kuna asilimia kubwa atasurvive.
 
Nijuavyo nyoka hata akiwa na jeraha tu haponi. Sembuse kumkata mkia? halafu nyoka moyo wake upo mkiani...
Nasikia ukiwa unawakimbia wanyonya damu usigeuke nyuma, wana kioo chao ukigeuka wakakumulikia usoni unakuwa kama umelewa, unajikuta unakaa chini wanakuja kukuokota.

Walikuwa wanakwenda sana mashuleni na magari yao yenye misilaba myekundu kwenda kunyonya damu wanafunzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom