Je, Tundu Lissu amekumbwa na jinamizi gani mpaka amegeuka kuwa adui wa Rasilimali za nchi hii?

Mwanasiasa siku zote anatafuta mianya kwenye kila tukio ili ajijenge.
1999 ulikuwa unagombania mambo ya madini. Hizo siku nyingine ulikuwa wapi hadi uanze upya baada ya mkuu wa nchi kuonyesha nia hii.


Nia ya mkuu wa nchi ni njema sana na kila mtu anamuunga mkono katika kuitoa nchi kwenye umasikini. Tatizo njia zinazotumika zitaongeza matatizo na hapo ndipo wataalam wanatakiwa kumsaidia Mh. Rais wetu.

TL anaonyesha mapungufu na anatoa tahadhari ya athari zitakazopatikana yaani yeye ni whistle blower. Wahusika sasa wachambue kama ni chenga waendelee ila kama TL ana pointi basi wamshauri Rais
 
Kwa sasa mtaendelea kuita wasanii na waandishi wa habari kuwasaidia kutangaza hayo mnayofikiri na kujiaminisha kuwa ndiyo utetezi wenu kwa rasilimali mlizoshiriki kuziangamiza kwa miaka kadhaa.

Ila siku mtakapotandikwa kwenye mahakama za kimataifa kwa upuuzi mnaojinasibu nao sasa sio wasanii ama waandishi wa habari watakaoitwa kutangaza kichapo hicho zaidi ya kuficha nyuso zenu kwa aibu
 
Kwa mawazo yako ni sahihi. Lakini kwa watu wanaoelewa sidhani kama upo sahihi. Mtu mwenye akili huonekana linapotokea tatizo. Approach ya mtu mwenye akili kwenye tatizo fulani ni tofauti kabisa.

Kwanza hapayuki na wala hapigi kelele kama anavyofanya Lissu. Alipayuka hivyo hivyo wakati anamchafua Lowassa, lakini sasa kampokea na ndo mtetezi wake.

Sasa kwa hili la madini, nilitarajia Lissu aonyeshe njia na si kupayuka na kupiga kelele. JPM hatafuti sifa kama Lissu anavyodai.

Kuwa rais wa nchi tu ni sifa na umaarufu wa kutosha. Anayetafuta sifa tena kwa nguvu ni Lissu. Itoshe tu kusema Lissu ni mpiga kelele na ndo hulka yake. Kwa wasiojua watamshabikia tu

TL ameonyesha mapungufu ya kisheria kwa hatua zinazochukuliwa na kwamba anatahadharisha kuwa Taifa litaingia kwenye hasara kubwa. Sasa nyie watetezi wa kila ujinga leteni haja zenu za kisheria ku-prove TL wrong. Usije na hoja bla bla kama mjinga
 
Lumumba hamtamwelewa Lissu maana hapo ni akili moja inayofikiria mchanga na level yake ni ya mchangani ikishindana na akili ya dhahabu halisi,gesi na madini mengine halisi.
 
Kama mnadhani anayoyaongea Lissu hayana mashiko si mumpuuze tu na nyinyi muendelee na the right ones?

Hii ni dalili kuwa akili unazo ila tu unajitoa fahamu. Kesi ya kisheria haiamuliwi na kauli za Lissu, itaenda mahakamani. Sasa shwashwa za nini, si utafika wakati wa kum-prove Lissu wrong. Uzalendo na Unafiki ni vitu viwili tofauti.
 
Kwa sababu gani hasa amuunge mkono Magufuli?

Let's compartmentalize things, tuangalie hili la madini.

Kwa nini mtu yeyote mwenye akili zake, achilia mbali Tundu Lissu, amuunge mkono Magufuli?
Mkuu sio mwenye akili tu bali hata punguani hapaswi kumuunga mkono huyu Ngosha
 
Lizaboni, wewe akili zako ni za chini mno. Kiwango chako ni ufutaji wa viatu pale lumumba na si zaidi. Jitambue ili usizidi kujianika uutupu wako mitandaoni.

Kwa majuha kama wewe, ndio wanaoweza kusema Tundulisu ni adui wa raslmilai za taifa. Lakini kwa watu wenye UELEWA WOWOTE KUANZIA UELEWA WA NGAZI YA CHINI AMBAO NINYI HAMNA, ndiyo wanaoona mchina mchina. Wasiokuwa na aibu wala hisia ndio wanakuja hapa mitandaoni kusema haya unayoyasema. Mngelikuwa na utu japokidogo tu mkafikiria mbele na vizazi vyenu, MNGEOMBA UFAFANUZI".

ADUI YA MALI ZA TAIFA NI YULE MPUMBAVUE MWENZENU NA WENZAKE WANAOSEMA "HATA KAAM TUKISHINKDWA KESI NA KUTOZWA FAINI, HAKUNA SHIDA KWA KUWA TUTALIPA SOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU". PUMBAVEUEE KABISA!, TENA NASEMA PUMBAVEUE!

Tundu Lissu anazuia upubaveu wa akli za hapao lumumba ambazo ndizo hazinjali lmaslahi ya umma wala mali za taifa. Tundulius anatoa mwongozo namna gani yakuliepusha taifa na wizi halisi ambao hajaanzia kwenye michanga ambayo iko ikatiba, na wala hautaisha kwa ajili yakudhibiti michanga, bali ni kufumua mikataba kitaalam. Lakini pia anapinga maamuzi ya kipumbaveu kama hayo hapo juu ya "KUAMUA VYOYOTE MAADAMU KAMA NI FINE, TUTATOA WOTE".

KATI YA LISU, ANAYELITETEA TAIFA KUTOKA KATIKA MAAMUZI YENYE HASARA KWA TAIFA NA VIZAZI VYETU, NA WEWE PAMOJA NA HAO UNAWAFUTIA VIATU WAKINYWA CHAI, AMBAO WANASEMA, HATA KAMA TUKIPIGWA PENALTY, SI TUNADHURIKA SOTE?? HAKUNA TABU!. NANI ANAUCHUNGU NA MALI ZA TAIFA?

JIONDOE UPUMBAVUE UJIBU, KAMA UNA HUO UPUMBAVUE WAKO, KAA KIMYA KWA KUWA NIAKUTAMKIA JAMBO AMBALO HUTALISAHAU.


Shikamoo Bro Tabby !
 
Wataalam nauliza hivi hatuna haki ya Mrahaba wa percent 3 Kwenye madini yaliyomo kwenye huo mchanga wa madini?maana sasa wengine hatuelewi .
 
Kwa kweli mimi ninavyoona ni bora Tundu Lisu angekaa Kimya kabisa kuliko kuonyesha wazi kuwa anajaribu kutetea maslahi ya wawekezaji kutoka nje hasa pale wanapoguswa.

Yapo Mambo mengi sa a ambaye mh. LISU angeweza kuyapigania kwa sasa lakini sio hili la wawekezaji wanaotuibia kinyume na milataba. Mwekezaji naye ana wajibu wake ambao anapaswa autekeleze na pale anaposhindwa au kikiuka ni wajibu wetu kukamata mali zake kama ushahidi.
Mchanga umezuiliwa kama kielelezo ili hata wakija watu wengine kuchunguza waone wizi na udanganyifu unaofanywa na hao wawekezaji.
Sasa Lisu alitaka tuuachi huo mchanga halafu kesho tupate ushahidi upi?

Kwa hili sitamuunga mkono Lisu kamwe.

Pia nimshauri mh.Rais asiishie hapo tu kwenye kusimamisha usafirishaji wa makontena ya michanga bali azuie mali zote na A/ C za wale waliohusika na mikataba hii ikiwemo kuwatosa wabunge wote walikuwepo wakati wa mikataba hiyo ya kilaghai wakati wa uchaguzi wa ndani ta Chama.

Nilitegemea Lisu aendelee kufukunyua na kupigia kelele mikataba mingine yenye mashaka kama ile ya Gesi ,UDA na ile ya kule Loliondo ili nayo ikiwezekana ichunguzwe na hatua zichukuliwe.
 
Hajawahi hata mara moja, ni mtazamo wa kijinga wa watu wasiopenda kukosolewa
Wewe ngilenengo.usipende kupinga vitu vya ukweli.na km wewe hujawahi sikia sema hujawahi sikia.TUNDU LISSU ALISHAMTUKANA MWL NYERERE.WAZI NA HADHARANI MCHANA KWEUPE.
 
Lisu hajatetea ujinga.anaeleza ukweli tena ule mchungu kwa walioiba au kuwezesha uporaji wa rasilimali zetu--waliosaini bogus treaties na makampuni ya nje--hao kina ndiooooo,na baraza la mawaziri lililokuwepo !!!!
 
Lizabon,hapo ni uelewa tu,Lisu hoja anazozitoa ni hoja sahihi za kisheria.Tatizo mtu akishalishwa kumchukia mtu anakuwa hawezi kukubali lolote.

Hii mikataba haikuingiwa bila utaratibu wa kikatiba hiki ndicho anachojaribu kukisimamia Mh Lisu yaana makubaliano yaliyofanyika yalifanyika kisheria hivyo lazima hatua zinazochukuliwa na Mh Raisi zichukuliwe kwa kufuata sheria.
sheria ndio inataka watuibie na sisi tukae kimya
hapo sio swala la sheria swala ni kwamba walituambia kwanga madini cha madini kwenye kila kontena ni 0.02gram
kumbe kuna kilo 28 hadi 42 za gold kwa kila kontena acha madini mengine sasa sheria ipi inayowaruhusu kutuibia na sisi tukae kimya hata Acacia wanalitambua hilo kama kosa ndio maana walijalibu kuhonga tume
 
Hivi Lissu kauli yake kuhusu mchanga aliitowa kama mwanasheria wa Chadema, au rais wa TLS, au mtanzania wa kawaida?? Maana nashida kujuwa msimamo wake unashabiana na kofia gani aliyoivaa.
 
Natazama uzi wa buku 7 wa lizaboni una like mbili tu halafu comments za 2&3 za wanaofikiria vizuri zina like nyingi kuliko uzi wa buku 7
Hapo ndipo utakapojua kuwa hawana (buku7) hoja hawa
 
Yapo Mambo mengi sa a ambaye mh. LISU angeweza kuyapigania kwa sasa lakini sio hili la wawekezaji wanaotuibia kinyume na milataba. Mwekezaji naye ana wajibu wake ambao anapaswa autekeleze na pale anaposhindwa au kikiuka ni wajibu wetu kukamata mali zake kama ushahidi.
Mchanga umezuiliwa kama kielelezo ili hata wakija watu wengine kuchunguza waone wizi na udanganyifu unaofanywa na hao wawekezaji.
Sasa Lisu alitaka tuuachi huo mchanga halafu kesho tupate ushahidi upi?

Kwa hili sitamuunga mkono Lisu kamwe.

Pia nimshauri mh.Rais asiishie hapo tu kwenye kusimamisha usafirishaji wa makontena ya michanga bali azuie mali zote na A/ C za wale waliohusika na mikataba hii ikiwemo kuwatosa wabunge wote walikuwepo wakati wa mikataba hiyo ya kilaghai wakati wa uchaguzi wa ndani ta Chama.
Ndugu kwa hili hata mimi sijamwelewa Lisu.Kweli mchanga ni wao?hata mrahaba hatuna haki nao?Tusubiri report ya wanasheria wabobezi kwani Lisu sio kichwa pekee nchi hii.Japo bado sina wasiwasi na uzalendo na upiganaji wake,nadhani kwa hili kaangalia kwa jicho la kisiasa.
 
Back
Top Bottom