Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,046
- 1,867
Njaa inakutoa akiliMwanasiasa siku zote anatafuta mianya kwenye kila tukio ili ajijenge.
1999 ulikuwa unagombania mambo ya madini. Hizo siku nyingine ulikuwa wapi hadi uanze upya baada ya mkuu wa nchi kuonyesha nia hii.