Je, Tundu Lissu amekumbwa na jinamizi gani mpaka amegeuka kuwa adui wa Rasilimali za nchi hii?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,367
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa maelezo yake, Tundu Lissu amejipambanua kuwa amepigania rasilimali za nchi hii tangu mwaka 1999. Kwa kipindi chote, ilikuwa ni rahisi kupima uzalendo wa Tundu Lissu hasa dhidi ya wahujumu uchumi wa nchi hii.

Hata hivyo, tangu mwaka 2015 baada ya CHADEMA kumchukia Edward Lowasa licha ya kashfa lukuki za ufisadi dhidi yake, Tundu Lissu kwa sasa amegeuka kuwa mwanasheria wa ajabu kuweza kutokea katika tasnia hiyo hapa nchini. Yeye sasa ni mtetezi wa kila maovu katika nchi hii.

Nilitaraji kuwa katika hili la kuibiwa kwa madini yetu atamuunga mkono Rais Magufuli na kila mwenye nia njema kwa nchi hii.

Najiuliza, ni jinamizi gani limemkumba Tundu Lissu? Ama lile lililotumika kumsafisha Edward Lowasa baada ya kumchafua kwa miaka kadhaa sasa limewaingilia kinyume na matakwa yao? Au ni kuthibitisha kuwa mkono mtupu haulambwi? Au anaogopa kumuunga mkono Rais Magufuli ili asimpe point?

Mwenye jibu mujarab aje fasta hapa atujuze
 
Mwanasiasa siku zote anatafuta mianya kwenye kila tukio ili ajijenge.
1999 ulikuwa unagombania mambo ya madini. Hizo siku nyingine ulikuwa wapi hadi uanze upya baada ya mkuu wa nchi kuonyesha nia hii.
 
Lizabon,hapo ni uelewa tu,Lisu hoja anazozitoa ni hoja sahihi za kisheria.Tatizo mtu akishalishwa kumchukia mtu anakuwa hawezi kukubali lolote.

Hii mikataba haikuingiwa bila utaratibu wa kikatiba hiki ndicho anachojaribu kukisimamia Mh Lisu yaana makubaliano yaliyofanyika yalifanyika kisheria hivyo lazima hatua zinazochukuliwa na Mh Raisi zichukuliwe kwa kufuata sheria.
 
Lizabon,hapo ni uelewa tu,Lisu hoja anazozitoa ni hoja sahihi za kisheria.Tatizo mtu akishalishwa kumchukia mtu anakuwa hawezi kukubali lolote.Hii mikataba haikuingiwa bila utaratibu wa kikatiba hiki ndicho anachojaribu kukisimamia Mh Lisu yaana makubaliano yaliyofanyika yalifanyika kisheria hivyo lazima hatua zinazochukuliwa na Mh Raisi zichukuliwe kwa kufuata sheria.
Hata rais anachukua sheria pia katika hili usifikiri atakurupuka,kwani mpka sasa alichokurupuka ni kutoa ripoti?,bado kamati nyingine ya uchumi na sheria haijatoa mapendekezo,tuliza mpira kijana
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa maelezo yake, Tundu Lissu amejipambanua kuwa amepigania rasilimali za nchi hii tangu mwaka 1999. Kwa kipindi chote, ilikuwa ni rahisi kupima uzalendo wa Tundu Lissu hasa dhidi ya wahujumu uchumi wa nchi hii.

Hata hivyo, tangu mwaka 2015 baada ya CHADEMA kumchukia Edward Lowasa licha ya kashfa lukuki za ufisadi dhidi yake, Tundu Lissu kwa sasa amegeuka kuwa mwanasheria wa ajabu kuweza kutokea katika tasnia hiyo hapa nchini. Yeye sasa ni mtetezi wa kila maovu katika nchi hii.

Nilitaraji kuwa katika hili la kuibiwa kwa madini yetu atamuunga mkono Rais Magufuli na kila mwenye nia njema kwa nchi hii.

Najiuliza, ni jinamizi gani limemkumba Tundu Lissu? Ama lile lililotumika kumsafisha Edward Lowasa baada ya kumchafua kwa miaka kadhaa sasa limewaingilia kinyume na matakwa yao? Au ni kuthibitisha kuwa mkono mtupu haulambwi? Au anaogopa kumuunga mkono Rais Magufuli ili asimpe point?

Mwenye jibu mujarab aje fasta hapa atujuze

Lizaboni, wewe akili zako ni za chini mno. Kiwango chako ni ufutaji wa viatu pale lumumba na si zaidi. Jitambue ili usizidi kujianika uutupu wako mitandaoni.

Kwa majuha kama wewe, ndio wanaoweza kusema Tundulisu ni adui wa raslmilai za taifa. Lakini kwa watu wenye UELEWA WOWOTE KUANZIA UELEWA WA NGAZI YA CHINI AMBAO NINYI HAMNA, ndiyo wanaoona mchina mchina. Wasiokuwa na aibu wala hisia ndio wanakuja hapa mitandaoni kusema haya unayoyasema. Mngelikuwa na utu japokidogo tu mkafikiria mbele na vizazi vyenu, MNGEOMBA UFAFANUZI".

ADUI YA MALI ZA TAIFA NI YULE MPUMBAVUE MWENZENU NA WENZAKE WANAOSEMA "HATA KAAM TUKISHINKDWA KESI NA KUTOZWA FAINI, HAKUNA SHIDA KWA KUWA TUTALIPA SOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU". PUMBAVEUEE KABISA!, TENA NASEMA PUMBAVEUE!

Tundu Lissu anazuia upubaveu wa akli za hapao lumumba ambazo ndizo hazinjali lmaslahi ya umma wala mali za taifa. Tundulius anatoa mwongozo namna gani yakuliepusha taifa na wizi halisi ambao hajaanzia kwenye michanga ambayo iko ikatiba, na wala hautaisha kwa ajili yakudhibiti michanga, bali ni kufumua mikataba kitaalam. Lakini pia anapinga maamuzi ya kipumbaveu kama hayo hapo juu ya "KUAMUA VYOYOTE MAADAMU KAMA NI FINE, TUTATOA WOTE".

KATI YA LISU, ANAYELITETEA TAIFA KUTOKA KATIKA MAAMUZI YENYE HASARA KWA TAIFA NA VIZAZI VYETU, NA WEWE PAMOJA NA HAO UNAWAFUTIA VIATU WAKINYWA CHAI, AMBAO WANASEMA, HATA KAMA TUKIPIGWA PENALTY, SI TUNADHURIKA SOTE?? HAKUNA TABU!. NANI ANAUCHUNGU NA MALI ZA TAIFA?

JIONDOE UPUMBAVUE UJIBU, KAMA UNA HUO UPUMBAVUE WAKO, KAA KIMYA KWA KUWA NIAKUTAMKIA JAMBO AMBALO HUTALISAHAU.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa maelezo yake, Tundu Lissu amejipambanua kuwa amepigania rasilimali za nchi hii tangu mwaka 1999. Kwa kipindi chote, ilikuwa ni rahisi kupima uzalendo wa Tundu Lissu hasa dhidi ya wahujumu uchumi wa nchi hii.

Hata hivyo, tangu mwaka 2015 baada ya CHADEMA kumchukia Edward Lowasa licha ya kashfa lukuki za ufisadi dhidi yake, Tundu Lissu kwa sasa amegeuka kuwa mwanasheria wa ajabu kuweza kutokea katika tasnia hiyo hapa nchini. Yeye sasa ni mtetezi wa kila maovu katika nchi hii.

Nilitaraji kuwa katika hili la kuibiwa kwa madini yetu atamuunga mkono Rais Magufuli na kila mwenye nia njema kwa nchi hii.

Najiuliza, ni jinamizi gani limemkumba Tundu Lissu? Ama lile lililotumika kumsafisha Edward Lowasa baada ya kumchafua kwa miaka kadhaa sasa limewaingilia kinyume na matakwa yao? Au ni kuthibitisha kuwa mkono mtupu haulambwi? Au anaogopa kumuunga mkono Rais Magufuli ili asimpe point?

Mwenye jibu mujarab aje fasta hapa atujuze
Kabla ya hiyo 2015 ulishawahi WEWE BINAFSI kumkubali kama mtetezi wa raslimali za nchi?
 
Lizabon huwa unaanza vizuri kwa salaam, lakini unaishia kuweka uchama na ushabiki badala hata ya kuchambua content ya andiko la Lissu
 
Hili tatizo la kudumisha fikra za mwenyekiti shida zake ndo km hizi. Tundu lisu hatetei acacia wala hatetei mchanga usizuiliwe, ila maamuzi ya rais yaangalie sheria za mkataba husika ili tusiingie kwenye kesi na kuwalipa hao jamaa pesa nyingi kuliko thamani ya mchanga wenyewe. na huku tumeishafua tz kwa wawekezaji wajao
 
Tundu Lissu ni level nyingine.

Lissu ni Rasilimali watu inayopotea nchi hii kama ambavyo rasilimali madini inavyopotea katika hii nchi kisa si tu si mwana-CCM hivyo hata mawazo yake mnayapuuza!

Kwa mawazo yako ni sahihi. Lakini kwa watu wanaoelewa sidhani kama upo sahihi. Mtu mwenye akili huonekana linapotokea tatizo. Approach ya mtu mwenye akili kwenye tatizo fulani ni tofauti kabisa.

Kwanza hapayuki na wala hapigi kelele kama anavyofanya Lissu. Alipayuka hivyo hivyo wakati anamchafua Lowassa, lakini sasa kampokea na ndo mtetezi wake.

Sasa kwa hili la madini, nilitarajia Lissu aonyeshe njia na si kupayuka na kupiga kelele. JPM hatafuti sifa kama Lissu anavyodai.

Kuwa rais wa nchi tu ni sifa na umaarufu wa kutosha. Anayetafuta sifa tena kwa nguvu ni Lissu. Itoshe tu kusema Lissu ni mpiga kelele na ndo hulka yake. Kwa wasiojua watamshabikia tu
 
Lizabon,hapo ni uelewa tu,Lisu hoja anazozitoa ni hoja sahihi za kisheria.Tatizo mtu akishalishwa kumchukia mtu anakuwa hawezi kukubali lolote.Hii mikataba haikuingiwa bila utaratibu wa kikatiba hiki ndicho anachojaribu kukisimamia Mh Lisu yaana makubaliano yaliyofanyika yalifanyika kisheria hivyo lazima hatua zinazochukuliwa na Mh Raisi zichukuliwe kwa kufuata sheria.
Hoja za kisheria ni za upande mmoja tu??, Haiwezakani!,
Lissu kwa sasa anaongozwa na chuki, wivu na hasira za kijinga. Tume zimeundwa mbili kwa nini asipeleke maoni yake kwenye tume ya pili??
 
CCM kipaumbele chake ni mchanga, mchanga, mchanga

Lissu yeye anahamasisha ili tufanukiwe lazima kipaumbele kiwe sheria,sheria,sheria.

sasa vichwa maji wa Lumumba lazima wamuone Lissu ni adui kwasababu vichwa vyao vimejaa maji taka tu.

Those who have knowledge don't predict. Those who predict don't have knowledge. Lao Tzu, 6th Century BC
 
shi
Lizaboni, wewe akili zako ni za chini mno. Kiwango chako ni ufutaji wa viatu pale lumumba na si zaidi. Jitambue ili usizidi kujianika uutupu wako mitandaoni.

Kwa majuha kama wewe, ndio wanaoweza kusema Tundulisu ni adui wa raslmilai za taifa. Lakini kwa watu wenye UELEWA WOWOTE KUANZIA UELEWA WA NGAZI YA CHINI AMBAO NINYI HAMNA, ndiyo wanaoona mchina mchina. Wasiokuwa na aibu wala hisia ndio wanakuja hapa mitandaoni kusema haya unayoyasema. Mngelikuwa na utu japokidogo tu mkafikiria mbele na vizazi vyenu, MNGEOMBA UFAFANUZI".

ADUI YA MALI ZA TAIFA NI YULE MPUMBAVUE MWENZENU NA WENZAKE WANAOSEMA "HATA KAAM TUKISHINKDWA KESI NA KUTOZWA FAINI, HAKUNA SHIDA KWA KUWA TUTALIPA SOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU". PUMBAVEUEE KABISA!, TENA NASEMA PUMBAVEUE!

Tundu Lissu anazuia upubaveu wa akli za hapao lumumba ambazo ndizo hazinjali lmaslahi ya umma wala mali za taifa. Tundulius anatoa mwongozo namna gani yakuliepusha taifa na wizi halisi ambao hajaanzia kwenye michanga ambayo iko ikatiba, na wala hautaisha kwa ajili yakudhibiti michanga, bali ni kufumua mikataba kitaalam. Lakini pia anapinga maamuzi ya kipumbaveu kama hayo hapo juu ya "KUAMUA VYOYOTE MAADAMU KAMA NI FINE, TUTATOA WOTE".

KATI YA LISU, ANAYELITETEA TAIFA KUTOKA KATIKA MAAMUZI YENYE HASARA KWA TAIFA NA VIZAZI VYETU, NA WEWE PAMOJA NA HAO UNAWAFUTIA VIATU WAKINYWA CHAI, AMBAO WANASEMA, HATA KAMA TUKIPIGWA PENALTY, SI TUNADHURIKA SOTE?? HAKUNA TABU!. NANI ANAUCHUNGU NA MALI ZA TAIFA?

JIONDOE UPUMBAVUE UJIBU, KAMA UNA HUO UPUMBAVUE WAKO, KAA KIMYA KWA KUWA NIAKUTAMKIA JAMBO AMBALO HUTALISAHAU.




shikamoo mkuu tabby,mada ifungwe tu sasa u said it all
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa maelezo yake, Tundu Lissu amejipambanua kuwa amepigania rasilimali za nchi hii tangu mwaka 1999. Kwa kipindi chote, ilikuwa ni rahisi kupima uzalendo wa Tundu Lissu hasa dhidi ya wahujumu uchumi wa nchi hii.

Hata hivyo, tangu mwaka 2015 baada ya CHADEMA kumchukia Edward Lowasa licha ya kashfa lukuki za ufisadi dhidi yake, Tundu Lissu kwa sasa amegeuka kuwa mwanasheria wa ajabu kuweza kutokea katika tasnia hiyo hapa nchini. Yeye sasa ni mtetezi wa kila maovu katika nchi hii.

Nilitaraji kuwa katika hili la kuibiwa kwa madini yetu atamuunga mkono Rais Magufuli na kila mwenye nia njema kwa nchi hii.

Najiuliza, ni jinamizi gani limemkumba Tundu Lissu? Ama lile lililotumika kumsafisha Edward Lowasa baada ya kumchafua kwa miaka kadhaa sasa limewaingilia kinyume na matakwa yao? Au ni kuthibitisha kuwa mkono mtupu haulambwi? Au anaogopa kumuunga mkono Rais Magufuli ili asimpe point?

Mwenye jibu mujarab aje fasta hapa atujuze

Aliyekumbwa na jinamizi ni CCM ambayo mikataba mlisaini wenyewe alaf leo hii wanajifanya hawajui kitu
 
Kwa mawazo yako ni sahihi. Lakini kwa watu wanaoelewa sidhani kama upo sahihi. Mtu mwenye akili huonekana linapotokea tatizo. Approach ya mtu mwenye akili kwenye tatizo fulani ni tofauti kabisa.

Kwanza hapayuki na wala hapigi kelele kama anavyofanya Lissu. Alipayuka hivyo hivyo wakati anamchafua Lowassa, lakini sasa kampokea na ndo mtetezi wake.

Sasa kwa hili la madini, nilitarajia Lissu aonyeshe njia na si kupayuka na kupiga kelele. JPM hatafuti sifa kama Lissu anavyodai.

Kuwa rais wa nchi tu ni sifa na umaarufu wa kutosha. Anayetafuta sifa tena kwa nguvu ni Lissu. Itoshe tu kusema Lissu ni mpiga kelele na ndo hulka yake. Kwa wasiojua watamshabikia tu


Dah.....Yaani mmeweka kabisa pamba masikioni hamuoni maoni makini ya Lissu

That guy is smart

Kubalini kataeni
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom