Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Eiyer hii ni post yako ya zamani lakini nahisi bado unaamini kama ulivyoandika!
Sipingi ulichokiongea hapo but ningependa kukuuiliza swali hapa:
Ikiwa Muafrika ni mtu bora, kwanini walikubali kufuata mfumo huo wa kujidharau na kuweza kutawaliwa?
Kwani wewe unajua nini kuhusiana na mtu kuwa bora?