Mada imefikia sehemu ambapo kinachotakiwa ni ufumbuzi!...........pia tumeona kuwa "maendeleo" ya Asia siyo yanayotakikana kwa mwafrika na si ufumbuzi!ukifuatilia historia ya dunia utaona kuwa hatujalaaniwa ila ni kipindi tu tunapitia tumekuwa caught off guard na sema hivi kwa mifano ifuatayo
1. wakati marcopolo anaenda china alikuta china imeendelea kuliko ulaya, wachina walikuwa wanawaita wazungu barbarians(washenzi) kufika karne za 15 huko wazungu wakatake the lead wachina leo wanaonekana wasiostaarabika mbele za wazungu.
2.ottoman empire ya waturuki ilikuwa superior na kuanza kuvamia ulaya kipindi hicho wakiwaona watu wa ulaya kama waliolaaniwa au washenzi leo hii things are up side down pengine wazungu ndio wanawaona waturuki cana incapable race.
3.waingereza wenyewe walikuwa kama wanyama wa porini wakati waroma walipowatawala ilikuwa inaonekana kama hawatakuja kumake it through lakini leo wako wapi?
4.persia empire imewahi tawala the known world of those days, muslims wamewahi kuwa the most prosperous people centre ikiwa baghdad lakini leo things ni vise versa
5.wamarekani wakati wanaenda japan for the first time walikuwa wanawaita wajapan yellow monkey lakini leo wanakaa
meza moja as equal partner
my take: kila race ina mind za kuwafanya kuwa na equal chance ya kuwa tajiri tataizo linakuja kwenye mambo kama culture pengine wengine wanawork hard kuliko wengine, au wengine wanaembrace roberry kuliko wengine halafu kipindi hicho watuwalikuwa hawajaingiliana sana lakini siku hizi nchi zilizoendelea ziko very watchful kuhakikisha kwamba wanaendelea kuwa juu, lazima tuchange culture la sivyo tutakuwa kama tunaenda mpirani na moka.