Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?



قَالَ بَصُرْتُ بِمَا لَمْ يَبْصُرُوا بِهِ فَقَبَضْتُ قَبْضَةً مِّنْ أَثَرِ الرَّسُولِ فَنَبَذْتُهَا وَكَذَٰلِكَ سَوَّلَتْ لِي نَفْسِي [Taa-Haa : 96]

(20:96) He replied, "I saw what the people did not see: so I took a handful of dust from the footprints of the Messenger, and sprinkled it (on the calf), for so did my soul prompt me. " *73

*73) here has been a good deal of divergence of opinion in regard to the interpretation of this verse. According to the majority of the early commentators and their followers, it means: "The Samiri saw the Messenger (Angel Gabriel) when he was passing and took a handful of dust from his footprints. Then he sprinkled this upon the idol of the golden calf. This created life in it and it began to low like a living calf." The Qur'an, in fact, dces not say that this actually happened but merely cites the reply given by the Samiri to Prophet Moses when the latter took him to, task for the great sin he had committed.
There are others who interpret the words of the Samiri; like this: "I saw a Weakness in the Messenger (Prophet Moses) or in his Creed, which others did not see. Therefore I followed in his footsteps to a certain limit but afterwards I left his way." This interpretation was moat probably put forward first of alI by Abu Muslim Isfahani. Then Imam Razi not only cited it in his own Commentary but also approved of it. And now it is being followed by some modernistic commentators, who try to prove their own favourite theories by giving far-fetched interpretations to the obvious meaning of the words of the Qur'an. Such people forget that the Qur'an has not been sent down in the terminology of enigmas, riddles and puzzles but in clear, plain and intelligible Arabic. Therefore the Qur'an would have never employed the words it has used in the Text to convey the meaning given by them because their usage cannot support that far-fetched interpretation. What such interpreters really mean to imply is that Allah has failed to express Himself clearly and plainly; therefore, they wish to come to His rescue by their interpretations in order to save Him from the ridicule of the "learned" people.
If we study the verse in the context in which it occurs, we shall be able to understand easily that the Samiri was a mischief-monger who had contrived his deceitful scheme after a good deal of consideration. As he appears to have been a good craftsman, he caused the golden calf he had made to produce a lowing sound, and successfully deluded the ignorant and simple people. He did not rest content with this but impudently invented the story that he had seen what the common people could not see and that he had taken a handful of the dust from the footprints of the Messenger and sprinkled it on the calf which made it low like a living calf. It is possible that by the "Messenger", he meant Prophet Moses himself and might have cunningly tried to flatter him, saying, that the dust of his footprints was miraculous. By saying so, he was playing the most subtle trick. He wanted to offer an intellectual bait to Moses so that he might feel elated about the miraculous effect of the dust trodden by his feet and utilize his services for propagating his own miraculous acts. Anyhow, the fact is that the Qur'an has presented the whole thing as a trick of the Samiri and has not given the account as if it were a real event by itself. The subsequent reaction of Prophet Moses to the statement of the Samiri clearly shows that he considered it as a deceitful story, and so laid the curse on him.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
maktaba kuna story hata za kinjekitile ngware ww unaona maktaba ni issue, mimi nakuuliza akikataa martin Luther king unafikir amekataa peke yake?

Sisi Wakristo Tumehifadhi Neno la Mungu wetu Yesu kifuani na sio kwenye vipande vya karatasi kama unavyo fikiria wewe kama hujui ujue Leo! allah aliposema Hao wasemao sisi Wakristo ni Wasomi ña wacha-Mungu
IMG_20180806_124946_626.jpg
sio mchezo mchezo kama wewe ambaye hujui kusoma
IMG_20180820_213117_739.jpg
unapendaga kula rosted
IMG_20180902_132054_387.jpg
ya
polish-large-white-01.jpg
iko nyingi utatosheka tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20180902_132054_387.jpg
    IMG_20180902_132054_387.jpg
    29.6 KB · Views: 26
Wanabodi:

Baadhi ya Wanazuoni wa Kiislamu hawataki kukubali kwamba Kurani ina maelezo au masimulizi ya visa ambavyo ama havikuwahi kutokea katika historia ya maisha ya mwanadamu au kwamba visa hivyo haviko kama vinavyoelezwa na Kurani yenyewe.

Leo,ninacho kisa kingine kinachomuhusu Musa na Kaka yake, Haruni, wakiwa na wanaisrael.Kisa hicho, tunakikuta katika Biblia,Agano la Kale,Kutoka Kitabu cha Kutoka 32:1-10:

“1Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! Katufanyizie miungu itakayokwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katika nchi ya Misri hatujui yaliyompata.2 Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mkaniletee.3 Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.4 Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.5 Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa Bwana.6 Wakaondoka asubuhi na mapema, wakatoa dhabihu, wakaleta sadaka za amani, watu wakaketi kula na kunywa, wakaondoka wacheze.7 Bwana akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,8 wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.9 Tena Bwana akamwambia Musa, Mimi nimewaona watu hawa, na tazama, ni watu wenye shingo ngumu10 basi sasa niache, ili hasira zangu ziwake juu yao, niwaangamize, nami nitakufanya wewe uwe taifa kuu.”

Kurani na yenyewe katika Sura Ta Ha 20: 85-96,inasimulizi lile lile, ila ambalo inaonekana limefanyiwa editing kidogo.Tofauti na inavyoelezwa katika Biblia,katika Kurani Muhammad, anasema aliyewatengenezea Waisrael sanamu ya Ndama huyo ni Msamaria mmoja,ambaye hamtaji jina.Kitu kingine ambacho Muhammad anakisema kuhusiana na kisa hicho, ni kwamba sanamu hiyo ya Ndama ilikuwa na uwezo wa kuongea!Jambo la tatu, ni kwamba eti Mungu ndiye aliyewatega waisrael kuona kama ni wavumilivu,hasa baada ya Musa kuwa amewaacha Waisraeli na kaka yake Haruni,kwa muda mrefu bila kurudi.

SASA, Wasamaria ni akina nani?

Wasamaria wanatajwa kuwepo baada ya utawala wa Israeli kwa upande wa Kaskazini katika Palestina kuangukia mikononi mwa dola ya Assyria mnamo mwaka 722KK na hiyo ni kama karne saba baada ya Musa kuondoka duniani.

Wasamaria ilikuwa ni jamii ya watu waliokuwa wakiishi katika Dola ya Kaskazini mwa Israeli(Northern Kingdom of Israel).Samaria ni jina la mji uliokuwa makao makuu ya Dola hiyo (Ufalme huo) na hivi watu walioshi katika dola hiyo ya Samaria waliitwa Wasamaria.Mji wa Samaria, ulikuwa katikati ya mji wa Galilaya (kwa upande wa kaskazini) na mji wa Yudea(kwa upande wa Kusini).Wasamaria kwa rangi walikuwa mchanganyiko wa Wayahudi na uzao wa wapagani(racially mixed society with Jewish and pagan ancestry).

Kiimani pamoja na kwamba,wasamaria walikuwa wakimuabudu YAHWEH(Mungu, kama Wayahudi walivyokuwa wakimuita), sawa na wayahudi walivyofanya,dini yao haikuwa dini kuu ya Kiyahudi(mainstream Judaism).Wasamaria walikuwa wakivikubali vitabu vitano tu kati ya orodha ya vitabu viliyokuwa vikikubaliwa, na Hekalu lao lilikuwapo katika Mlima Gerazimu(Gerazim) badala ya lile Hekalu la Kiyahudi lililokuwa katika Mlima Sioni,kule Yerusalemu kama tusomavyo katika Injili ya Yohana 4:9,20-21:

“9Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia. 21Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.”

Wasamaria wa nyakati za Yesu walikuwa wakiamini kwa dhati juu ya Mungu mmoja kuliko hata Wayahudi wenyewe na namna fulani walikuwa wameshika sana sheria za Musa kuliko hata Wayahudi,kwa namna ya pekee,suala la Sheria za Sabato.Tofauti ya Wayahudi na Wasamaria ilikuwa ni kwamba wayahudi hawakuruhusiwa kutamka jina takatifu la Mungu “YAHWEH” katika viapo, isipokuwa aliyeruhusiwa kufanya hivyo alikuwa Kuhani Mkuu tu,tena akiwa huko patakatifu pa patakatifu,tena mara moja kwa mwaka na hiyo ilikuwa katika siku ile ya toba ya taifa (ndiyo,Yom Kippur). Wasamaria wao kutamka jina takatifu “YHWH” (soma “YAHWEH” ) kwa sauti au kimya kimya halikuwa tatizo hata kidogo.`

Kwa hiyo, Wayahudi wote wa kawaida hawakuwa na ruhusa na hata leo bado hawaruhusiwi kusoma, si kwa sauti tu wala kimya kimya,herufi za jina takatifu la Mungu, YHWH, kwa sababu ya utakatifu wa jina la Mungu wao. Kwa nini? Kwa sababu kuzisoma bure bure kungelingana na utovu wa heshima kwa Mungu mkuu na kuivunja amri ya Mungu ya kutolitaja bure jina lake, DECALOGUE. Ndiposa, ilikuwa marufuku na bado ni marufuku kabisa Myahudi wa kawaida kuzisoma na kuzitamka herufi hizo.

Kwa hiyo,kutokana na wasamaria kuonekana hawashiki sawa sawa dini ya Kiyahudi na kwamba walikuwa na vinasaba vya damu ya kipagani,basi walikuwa wakidhauriwa na kutengwa na wayahudi wa Kawaida.Na ndiyo maana utashangaa kwa nini wayahudi walipokuwa wakisafiri kutoka Yudea kwenda Galilaya au Galilaya kwenda Yudea,walilazimika kuvuka mto Jodani kisha kuambaaambaa ng’ambo ya Jodani na kisha kuvuka tena mto Jodani walipokaribia kufika Galilaya au Judea ili kukwepa kupitia ardhi ya Samaria kwa kukwepa wasije wakanajisika. Kwa hali hiyo,wayahudi hawakuchangamana na wasamaria na walijengeana chuki au uhasama dhidi ya Wayahudi wa kawaida. Ni kutokana wasamaria na ni kwa mazingira haya,ndiyo kisa hata Yesu alinyimwa sehemu ya kulala katika Kijiji kimoja walipokuwa wakiishi Wasamaria, kwa sababu tu ya Uyahudi wake na wala si kwa sababu hakuwa na uwezo wa kulipia sehemu hiyo.Soma Luka 9:51-56:

“51 Ikawa, siku za kupaa kwake zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliukaza uso wake kwenda Yerusalemu;52 akatuma wajumbe kutangulia mbele ya uso wake; wakaenda wakaingia katika kijiji cha Wasamaria, ili kumtengenezea mahali.53 Lakini wenyeji hawakumkaribisha kwa vile alivyouelekeza uso wake kwenda Yerusalemu.54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]?55 Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]56 Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa.Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.”


Maswali ya Kujiuliza:

  • Je,Muhammad anaposema kuwa Msamaria alimshika Unyayo,anataka kuieleza na kuiaminisha jamii ya Kiislamu kwamba wakati sanamu ya ndama huyo inatengenezwa yeye alikwisha kuzaliwa, hata iwezekane kwa huyo msamaria kumshika unyayo kabla ya kumuunda ndama huyo?

  • Kwa namna inavyosimuliwa katika aya hiyo nukuliwa ya Kurani,mbona inatoa tafsiri kuwa yeye Muhammad alikuwa sehemu ya mchakato wa kuwezesha kuundwa kwa sanamu hiyo baada ya kuwa ameguswa unyayo wake? Na kama ndivyo,je,Muhammad haoni kama na yeye alikuwa ni sehemu ya kumkufuru Mungu sawa na yule msamaria?

  • Je,ikiwa Muhammad ni mtume wa mwenyezimungu (na msamaria aliwaundia waisrael sanamu iliyochukua nafasi ya Mungu, jambo ambalo ni kufuru),iliwezekanaje kwa Muhammad kukubali kushikwa unyayo na msamaria ambaye alikuwa na nia ovu ya kuwapotosha waisrael kwa kuwaundia kikaragosi cha Mungu?

  • Je, simulizi la Kisa hiki nalo limetumia lugha ya picha kama ilivyo katika kisa cha ndege na mchwa kutumika kama wanamgambo, kama tulivyoelezwa na wanazuoni wa Kiislamu katika mjadala uliopita, wa Ndege kutumika kama maaskari katika vita?

  • Je,kwa kuchukulia kweli kwamba msamaria ndiye aliyeunda roboti ya ndama iliyokuwa inaongea,msamaria huyo alikuwa na nguvu za kutenda miujiza? Na kama msamaria hakuwa na uwezo huo wa kimiujiza,je, alitumia tekinolojia gani wakati huo kuweza kuunda sanamu iliyokuwa inaoongea?

  • Historia inaonyesha Muhammad alizaliwa mwaka 570BK na kufariki dunia mwaka mnamo tarehe 8 Juni 632BK. Na Musa na Haruni(pamoja na huyo msamaria aliyetengeneza roboti la Ndama), waliishi miaka mingi sana kabla ya Yesu. Je,iliwezekanaje kwa huyo msamaria kuweza kumshika mtume unyayo katika mchakato wa kuliunda lile roboti wakati Mtume(Muhammad) hakuwa amezaliwa bado?

  • Je,kwa kadri ya historia ya uhasama kati ya Waisraeli na Wasamaria,na iwapo tukizingatia maelezo ya Muhammad, iliwezekanaje kwa Waisraeli kuweza kuchangamana na huyo msamaria, hata waweze kukubali kutengenezewa sanamu(roboti) na adui yao?

  • Kwa kuwa Kurani ni maneno ya Mungu yaliyoshushwa moja kwa moja kwa Muhammad(bila editing yoyote) toka kwa Mungu,je, kwa kisa hiki ambacho imeonekana ni uongo wa kihistoria,ni nani muongo?Ni Mungu anayedaiwa kumpelekea Muhammad Kurani au ni Muhammad tu ndiye alijisingizia kuwa Kurani ni maneno ya moja kwa moja,ambayo hayahaririwa,toka kwa Mungu?
Kwa maswali haya pamoja na mengineyo munayoweza kuongezea,nawakaribisheni,sasa kwa mjadala.
Muhammad ni tapeli tu.
 
Sisi Wakristo Tumehifadhi Neno la Mungu wetu Yesu kifuani na sio kwenye vipande vya karatasi kama unavyo fikiria wewe kama hujui ujue Leo! allah aliposema Hao wasemao sisi Wakristo ni Wasomi ña wacha-Mungu View attachment 854321 sio mchezo mchezo kama wewe ambaye hujui kusoma View attachment 854324 unapendaga kula rosted View attachment 854330 ya View attachment 854341 iko nyingi utatosheka tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mapicha ya nini tena !! Mungu ametufundisha tumiulize swali moja je MMESILIMU ? kama bado wahi mapema kabla muda haujakutupa mkono kuhusu usomi nilikwambia hata wanafunzi wa Yesu hawakuwa na elimu
 
Mapicha ya nini tena !! Mungu ametufundisha tumiulize swali moja je MMESILIMU ? kama bado wahi mapema kabla muda haujakutupa mkono kuhusu usomi nilikwambia hata wanafunzi wa Yesu hawakuwa na elimu

Kusilamu ndio mboga gani? Kila nikikwambia hiyo deen wenyewe ni warabu
IMG_20180903_062658_259.jpg
ooh Wanafunzi wa Yesu hawakuwa na Elimu kambishie baba kassim alie sema Wakristo ni Wasomi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahuni hutembea na watoto under 18, mtume wenu alimgegeda under 18. Wahuni hutembea na majimama, mtume wenu alikuwa anagegeda jimama na lilikuwa lina mlea. Mtume wenu ni muhuni tu kama wahuni wengine.
Pole sana kijana kumbe ndio tatizo lako kama hauna dalili yeyote ya kuthibitisha hayo maneno yako kuwa ni uhuni kimaandiko hayo yatabaki maneno ya vijiweni
 
Kusilamu ndio mboga gani? Kila nikikwambia hiyo deen wenyewe ni warabu View attachment 855238 ooh Wanafunzi wa Yesu hawakuwa na Elimu kambishie baba kassim alie sema Wakristo ni Wasomi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unakuwa mkali wanafunzi wa yesu kutokua na elimu wala maarifa imeandikwa kwenye biblia yako,na kuhusu wasomi wa vitabu hilo halina shaka ndio maana Mungu akasema kama mnakisoma kitabu tumiulize je MMESILIMU? kama bado fanya haraka
 
Mbona unakuwa mkali wanafunzi wa yesu kutokua na elimu wala maarifa imeandikwa kwenye biblia yako,na kuhusu wasomi wa vitabu hilo halina shaka ndio maana Mungu akasema kama mnakisoma kitabu tumiulize je MMESILIMU? kama bado fanya haraka
Biblia Takatifu wee huiamini hivyo nakukaanga kwa mafuta yako au hata kauli ya allah nayo huiamini manake unacho andika ni Dalili sio muumini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia haiwezi kuwa reference ya Quran. Wapo walioanza kupinga Quran a thousand years ago....wewe sio wa mwanzo. Waachie wenyewe dini yao. Unatumia zaidi ubongo wako kutafsiri maandiko huku ukiwa tayari na majibu yako. Namna hii hautafanikiwa.

Dini ni matokeo ya kuzaliwa tu na wazazi wa dini fulani. Tuthibitishie hapa wewe kama ulipewa fursa ya kuchagua dini utakayo na walio kulea. Upunguani ulioje kuwakejeli wenzio kwa dini ambazo mmepangiwa tu?

Jiangalie Kubwa Jinga weye.

Sent using my NOKIA torch
Mkuu naona kama umepanic cool down,kitu pekee ambacho mwanadamu hawezi kuchagua ni "azaliwe kwenye familia gani' hiki huwezi kuchagua na huwezi kuhama familia yako.Mengine yote unaweza badilisha kwa kadili unavyokuwa katika umri na uelewa likiwemo suala la dini.Kwani hujaona watu wamebadili dini sababu ya mwanamke au mwanaume?au hujaona watu wamebadilisha hata rangi za ngozi zao i.e wamejichubua?
Tulia kama mimi tusubilie wajuzi wa mambo watujuze,be cool.
 
Back
Top Bottom