Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,588
- 25,689
Kumfananisha Asange ambae anadukua habari za CIA na kuwauzia KGB wafanyie kazi na ninyi mnaochambua vizuri katiba na vipengele vyake mamlaka aliyonayo CAG nadhani kuna utofauti hapo...Asange ndio alitoa siri ya Nchi moja ndogo kutunza fedha za matajiri kimagumashi na kuonesha account zao pamoja na fedha zilizomo humo kwa hiyo pamoja na kwamba ni Mwandishi wa habari Source ya habari zake ndio tatizo..