Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 8,279
- 14,572
Kwahiyo kimekuwa kijiji huko
Naam ndugu yangu mjusi.
Kwanza uniwie sahamani kwa kupotea bila idhini ya kamati ya wakulungwa 🥹Naam ndugu yangu mjusi.
Msamaha umepita, karibu tena tulisongeshe gurudumu.Kwanza uniwie sahamani kwa kupotea bila idhini ya kamati ya wakulungwa 🥹
Najuta ile mbaya had nimepoteza CV takatifuMsamaha umepita, karibu tena tulisongeshe gurudumu.
CV yako Bado iko pale pale.Najuta ile mbaya had nimepoteza CV takatifu
KATAFUTE MUME, HAMNA UNACHOJUAMlikuaje Jiji kama hata flyovers hamuwezi kujenga wenyewe?!
Tatizo ni kutokuwepo akina January, yule dada aliyekuwa waziri wa afya, mtasubiri mpaka wapatikane watu kama hao. Ndivyo nchii hii na CCM walivyo.Tanga sio jiji , bajeti ya mwaka 2025/2026 katika miundombinu ya majiji haikuhusishwa hasa barabara kubwa ,na bajeti ya juzi ya mwaka 2026/2027 napo pia haipo kwenye list yaani mpaka Njombe ndani ikiungajishwa na Mbeya ila Tanga hola.
Kwenye bajeti za flyover waziri wa ulega alitaja watajenga flyover kwenye majiji ma 4 Tanga haikutajwa, pia nakumbuka alitaja mradi wa mwendo kasi katika majiji alitaka yote ila Tanga kaiacha, na kwenye mambo mengi tu,
Je, Tanga imeondolewa kwenye orodha ya majiji ila serikali haitaki kusema?
Zanzibar wanajitambua , hauwezi kupeleka mapato yao ukajenge DodomaHivi Zanzibar hakuna jiji😀
Kwahy wao Wana utawala wa majimbo?🤔Zanzibar wanajitambua , hauwezi kupeleka mapato yao ukajenge Dodoma
Zenji hakuna mali inatoka kwao kiboya nKwahy wao Wana utawala wa majimbo?🤔
Sawa mkuuuuuCV yako Bado iko pale pale.
Sio kweli.Jiji gani ina hotel moja tu ya hadhi(Tanga beach)?.Ikifika saa mbili usiku huduma kibao hupati , washafunga.Tanga na Mbeya hamna majiji hapo.Kwa definition za Jiji Tanga ni proper jiji kushinda majiji mengi Nchi hii. Unless hujui jiji ni nini.
🔥🔥🔥👊.Sawa mkuuuuu
Tanga beach Yenyewe Hotel ya juzi Tu hapa, ukiona MTU anasema Tanga Beach ndio hotel kubwa Tanga ujue hana analojua.Sio kweli.Jiji gani ina hotel moja tu ya hadhi(Tanga beach)?.Ikifika saa mbili usiku huduma kibao hupati , washafunga.Tanga na Mbeya hamna majiji hapo.