Tilalilala
Member
- Nov 30, 2014
- 78
- 66
Naomba kuuliza swali mimi nakaa kwenye nyumba ya taasisi ila nyumba yangu ina umeme ya jirani yangu ipo kama mita 70 hivi haina umeme ila nataka kutoa waya kutoka kwenye extension yangu mpka kwake ili aweze kutumia kwa matumiz madgo madgo kama kuchaj simu n.k
JE, HII INARUHUSIWA MAANA NI NYUMBA YA SERIKALI NA MITA INASOMA JINA LA TAASISI?
JE, HII INARUHUSIWA MAANA NI NYUMBA YA SERIKALI NA MITA INASOMA JINA LA TAASISI?