Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 537
umesema CPU ya infinix helio 95 ni strong kuliko samsung wakati source uliyoweka hapo inakukataa😂😂😂 hata itoke infinix nyingine leo hii haiwezi izidi performance samsung yale mambo ya unfortunately, camera kuacha kuacha kufanya kazi na mengineyo ni swala la muda tuAngalia hapo alafu uachage kukalili na wakati hujui lolote Compare Samsung Galaxy A52 vs Infinix Zero X Pro: which is better? | NR