msukule mzembe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 296
- 375
nenda gugoVyovyote
nenda gugoVyovyote
Kama hujatumia note huwez nielewaKwanini? Series za A zinatatizo gani
Usiwaonee wabongo tu...hata nchi za watu huko hzo high ends nyengine kama za oneplus...xiaomi na pixels bado haziwapiku kimauzo samsung and apple.Kaka hatulinganishi brand tunalinganisha simu zinazo endana kama tukilinganisha bra Samsung bado wako juu unajua infinix anaakili sana hawezi kutoa high-end sababu vifaa vya kutengenezea high-end ni ghali sana akitoa high-end atamuuzia nani maana bei itakua juu sana au labda auze bei ya chini apate asara sababu ni kampuni changa wabongo wazee wakukalili Brand wataibeza tu hawata nunua labda nch nyingine ndio wataielewa sio wabongo
😅😆😁😄😃😀😂🤣😅😆😄😃😃Samsung hata iwe kitochi n cm nzuri kuliko hzo Infinix.
Zote baba yao ni mmoja Transsion HoldingsInfinix ni tecno iliyochangamka
Tecno zinadharaulika sana, ukiachana na kina Samsung,mnapata wapi nguvu ya kuifananisha infinx brand ya 30 kwa kutoa simu bora duniani na the best brand ya kwanza samsung kwa simu bora duniani,
tecno ni wa 13 kamzidi parefu infinix
itel wa 19 duniani
enaseketeshaaaaaaas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KabisaTecno zinadharaulika sana, ukiachana na kina Samsung,
Tecno ni bora kuliko infinix
Mwamba kashasemaHapana Zero X ina Helio G95 haina advantage over sd 720G kwenge A52, na A52 overall ni simu nzuri zaidi.
Achana na A52 even A33 inamkalisha Zero X.
Mwamba huyu hapaInakalishwa vipi sasa? Unless hata Hujui kuziangalia. Na Snapdragon 720G sio inferior kwa 730G.
Snapdragon 720G vs Helio G95: tests and benchmarks
We put Qualcomm Snapdragon 720G against MediaTek Helio G95 to find out which SoC is better. See performance comparison in benchmarks and games.nanoreview.net
Angalia benchmarks mbalimbali hapo
1. Kwenye Single core performance sd 720G ipo vizuri kuliko G95
2. Kwenge Multicore perfomance pia 720G ipo vizuri zaidi
3.kwenye Gpu G95 ipo vizuri zaidi (ila in real life kwenye games 720G ipo vizuri zaidi)
4. Isp ya camera 720G ipo vizuri zaidi
5. Network modem 720G ina speed zaidi
Hebu niambie Hapo kwanini Uchague Helio G95?
Na Hio ni Soc tu Overall vitu vyengine A52 ina Camera kali yenye OIS, Display Nzuri ya Amoled, Refresh rate 120hz na HDR10 juu, Simu ni water proof unaweza ogelea nayo, Software updates kwa miaka 4, na Build Quality ya Samsung.
Convice me infinix zero x ni bora zaidi
Nna infiix ho6 nimenunua mwaka 2019 mpka sjawai ipeleka kwa Fundi zaidi ya kidude cha kuchaji kulegea na Betty kuisha muda wake ukaanza kuvimba tu.Tecno zinadharaulika sana, ukiachana na kina Samsung,
Tecno ni bora kuliko infinix
Shida kustuck sanaNna infiix ho6 nimenunua mwaka 2019 mpka sjawai ipeleka kwa Fundi zaidi ya kidude cha kuchaji kulegea na Betty kuisha muda wake ukaanza kuvimba tu.
Inaweza kufika 350k
Hizo tecno zilizochangamka mkuu hakuna simu hapoKuna mtu kasema Samsung A series ni za michongo!! Kwa taarifa yako hakuna sim za Samsung zinazokaa na charge na imara kuliko A series.. hakuna
Kama unamfahamu mtu au duka naomba ntajie nkachukue... Infinix ishanchosha[emoji28]Inaweza kufika 350k
Ngoja nikiingia mjini kesho nikuangalizie unaweza pata msimu huu wa sikukuuKama unamfahamu mtu au duka naomba ntajie nkachukue... Infinix ishanchosha[emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Poa mkuuNgoja nikiingia mjini kesho nikuangalizie unaweza pata msimu huu wa sikukuu
Ulevi tu ndugu, kila mtu na ulevi wakeJitu zima unafukuzana kubadilisha simu kila toleoo HV hakuna vingine vya kufanya