Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Unamfungaje pingu mtu aliyekataa kusimama na kuanza kukimbia???????Ni kosa kubwa kumuuwa
Kama ni mtuhumiwa kwanini asifungwe pingu?
Hili wanalijua kabisa kuwa pingu ni moja ya zana walizopewa kuzitumia sasa iweje hazitumiwi? Au kama ile staili ya USA
Mtu mweusi anaulizwa kitambulisho akiingiza mkono mfukoni wanamuwasha risasi
Kesi: He was reaching for a gun
Sent from my iPhone using Tapatalk