Kiasi gani wanauza Aliexpress? Na hii simu kwa muono wangu ni ya kawaida sana kwa standard za 2021.Ndio msha nikimbiza sasa mana nilitaka kuchukua Nokia 6.1 plus ya kuagiza toka ((Ali express)) sasa kumbe refurbished either iwe nzima au mbovu mhm japo mbele sio easy kua mbovu ila mashaka yameniingia bajet itulie tu kwanza Chief-Mkwawa unasemaje izo refurbished si ndio uko china
Kwanza ni announced 2018 bei 276000 free shipping sjui kama umeiyona vizur hapoKiasi gani wanauza Aliexpress? Na hii simu kwa muono wangu ni ya kawaida sana kwa standard za 2021.
Bei ni OK, ila ndio unabeti hapo, ushauri wangu bora tu ununue mchina mpya, kwa hio bei unapata around specs hizo hizo.Kwanza ni announced 2018 bei 276000 free shipping sjui kama umeiyona vizur hapo
Hii simu Banggood wanauza $104 (241,176.00) iko kwenye offer mpya! Lakini haifai kwa miaka hizi, Tafuta latest phones zipo nyingi tu..Kwanza ni announced 2018 bei 276000 free shipping sjui kama umeiyona vizur hapo
Banggood bei ya promoKwanza ni announced 2018 bei 276000 free shipping sjui kama umeiyona vizur hapo
mkuu mimi mara Mia ya hii kama ni mpya wana clear stock.Banggood bei ya promoView attachment 1678375
OK nimekuelewa mzeemkuu mimi mara Mia ya hii kama ni mpya wana clear stock.
Hii ban good ipo terms ipi refurbished auBanggood bei ya promoView attachment 1678375
[US$119.99 20% OFF]Nokia 6.1 TA-1043 Global Version 5.5 inch FHD NFC Android 9.0 16MP+8MP Cameras 3GB RAM 32GB ROM Snapdragon 630 Octa Core 4G Smartphone Mobile Phones from Phones & Telecommunications on banggoodHii ban good ipo terms ipi refurbished au
Ni official sio refurb, but mcontact seller kama unaihitaji, naona hawaship kuja TZ, Njia unayotumia hapo ni ya kuship kwa Agent, unamgea seller address ya agent then anaipeleka kwa agent aliepo hukohuko China mf. Unique Aircargo n.k mchezo unaisha unasubiri agent aitransit kuja huku nchini..Hii ban good ipo terms ipi refurbished au
Chukua s8 plus ndio hutojuta kwenye battery.
Nilikuwa huko ila saivi nimehamia kwa mchina Redmi K20 Pro.
Mkuu hizi simu za sansung inakuaje ukitumia baada ya nda kama ubora wa camera unapungua na experience na A6+ n sasa A30s....Kama unaipata nzuri ambayo sio refurbished ni simu nzuri kushinda midrange za sasa kuanzia perfomance, camera hadi display.
Sema maelezo ya wadau hapo juu pia uyatilie maanani unaweza shikishwa refurb ukajuta,
Kama si mtaalamu wa simu vyema tu ununue midrange mpya kama hizo A series, simu za oppo, vivo, xiaomi etc.
Kwanza jaribu kufuta lens nyuma, pili tumia chupa ya Maji ama gazeti ama kitu chochote chenye maandishi madogo madogo piga Picha kisha angalia quality yake.Mkuu hizi simu za sansung inakuaje ukitumia baada ya nda kama ubora wa camera unapungua na experience na A6+ n sasa A30s....
Na pia kunajamaa ana s8 naona camera haina ubora niliosoma gsm arena japokua tunefanya test zote za kuchek kama fake ipo ok
Poa poa mkuuKwanza jaribu kufuta lens nyuma, pili tumia chupa ya Maji ama gazeti ama kitu chochote chenye maandishi madogo madogo piga Picha kisha angalia quality yake.
Sababu Ngumu mimi kujua quality gani unapata na quality gani una expect.
Hatojutia akichukua s8+. Mimi nimechukua yangu mpyaaaa week iliyopita. Iko poa sana. Updated to Android 9, Dark mode, n.k.View attachment 1649651