Je, Samsung Galaxy S7 Edge 2020 bado ni bora?

Je, Samsung Galaxy S7 Edge 2020 bado ni bora?

Msaada tafadha anayejua namna ya ku update version ya os bila ku root simu nisaidie
Note 9? Kama ni refurb na sio version ya kimataifa
1. Jaribu kutumia VPN ya nchi husika ku check update
2. Download manual hio update kisha simu ita update locally. Sema njia hii kuwa makini ukiweka version isio ya kwako unaweza Kubrick simu.

Angalia vizuri model ya simu kwa kuingia download mode.

3. Jaribu kutumia software za pc za samsung kama smart switch ama kies kuangalia updates.
 
Sikushauri kabsa kuchukua samsung s7 edge tena sana sana refub kuna jamaa aliziletaga from china kama 20 wateja Almost 17 wanalalamika tena mattzo makuu haikai chaji, network kukata kata..
Kweli kbs
Mama angu anayo inamzingua
Ni bora s7 kuliko s7 edge
 
Vp mkuu bado ipo vzr?
Kuna jamaa yangu alining'ang'ania sana. Nikamuuzia. Ila ni simu poa sana. Niliweka na GCAM. Ilikuwa inagonga picha ni hatari.

One thing I hate about samsung, ni kutuuzia simu ambazo zina processor ya Exynos.

So far saiv nimeingia kwenye Redmi K20 pro ambayo ina SD855. Sijutii
 
Kuna jamaa yangu alining'ang'ania sana. Nikamuuzia. Ila ni simu poa sana. Niliweka na GCAM. Ilikuwa inagonga picha ni hatari.

One thing I hate about samsung, ni kutuuzia simu ambazo zina processor ya Exynos.

So far saiv nimeingia kwenye Redmi K20 pro ambayo ina SD855. Sijutii
Ulichukua mpya au refurbish? Me bdo nipo njia panda
 
Back
Top Bottom