Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
naitumia na haijawahi kunisumbua
Hii S7 edge au??naitumia na haijawahi kunisumbua
Kama unaipata nzuri ambayo sio refurbished ni simu nzuri kushinda midrange za sasa kuanzia perfomance, camera hadi display.Habari wana JF nataka kununua Samsung Galaxy S7 edge mwaka huu, kwani Bado ina ubora uleule wa 2016?
Naombeni ushauri wenu
View attachment 1649243
Okay nimekupata mkuuKama unaipata nzuri ambayo sio refurbished ni simu nzuri kushinda midrange za sasa kuanzia perfomance, camera hadi display.
Sema maelezo ya wadau hapo juu pia uyatilie maanani unaweza shikishwa refurb ukajuta,
Kama si mtaalamu wa simu vyema tu ununue midrange mpya kama hizo A series, simu za oppo, vivo, xiaomi etc.
400k. Ila ni 64GB variant.Umeichukua kwa shilingi ngapi mkuu
Hata mimi pia. Lakini hii walioviweka siyo vibaha sana. I hate fingerprint ya S9 series. Yaani kama tecno bhana.Sema sivutiwi na simu yenye finger scanner ya nyuma. Ila iko poa
Nina s8 plus ila nataka kuingia note 8S8 plus.. Kwa watumiaji wa android, hii simu ni bora kabisa, unmatched. From my experience ya kutumia s4, note 5, s7 edge, s8+, note 9 na s10.
s8+ nairank #1.
Naunga mkono hoja,Uwe tayari kula hasara kioo kikizingua.
Kwan Samsung Galaxy S7 edge refurbished unaionaje? Naomba msaada wako mkuu mm Co mtaalam sanaKama unaipata nzuri ambayo sio refurbished ni simu nzuri kushinda midrange za sasa kuanzia perfomance, camera hadi display.
Sema maelezo ya wadau hapo juu pia uyatilie maanani unaweza shikishwa refurb ukajuta,
Kama si mtaalamu wa simu vyema tu ununue midrange mpya kama hizo A series, simu za oppo, vivo, xiaomi etc.
Bora ununue Midrange (A-Series) za Miaka hii, kwa hio
Sahau kupata mpya,
Sahau kupokea update,
Sahau warranty,
Tarajia kutembea na Power Bank,
Tarajia kusumbuliwa na display n.k n.k
Kununua refurbished Hakuna tofauti na kubeti, unaweza Pata nzuri ama ukapata simu kimeo Hakuna guarantee.Kwan Samsung Galaxy S7 edge refurbished unaionaje? Naomba msaada wako mkuu mm Co mtaalam sana
Hizo simu zina screen touch za ajabu kweli. Kuna jamaa kaja nayo leo kazini kwangu ishakuwa nyang'anyang'a kwenye touch yake lakini inafanya kazi fresh.Mimi natumia hiyo s7 na nikitaka kuapdate inaapdate ninayo tangu 2016 ni cm ngumu sana kioo kina crake lakin hakizingui
Hivi kaka kuna hasara yoyote kwa simu kama nitaiacha milele bila ya kuizima?Kama unaipata nzuri ambayo sio refurbished ni simu nzuri kushinda midrange za sasa kuanzia perfomance, camera hadi display.
Sema maelezo ya wadau hapo juu pia uyatilie maanani unaweza shikishwa refurb ukajuta,
Kama si mtaalamu wa simu vyema tu ununue midrange mpya kama hizo A series, simu za oppo, vivo, xiaomi etc.
Hakuna, itakaa tu kwa lifespan yake. Simu zimetengenezwa ziwe on.Hivi kaka kuna hasara yoyote kwa simu kama nitaiacha milele bila ya kuizima?
Duh!! i can't believe this!Sasa kaka ikiwa on processor yake si inatumika na ikiwa off processor yake si inakuwa imezima?Sasa kwa nini ikiwa off isiongeze life span ya simu kwa sababu processor ilipumzika?Hakuna, itakaa tu kwa lifespan yake. Simu zimetengenezwa ziwe on.
Ikiwa off itaongeza lifespan ndio, ila hujaitumia Hivyo sidhani kama ina add chochote kwenye value yako.Duh!! i can't believe this!Sasa kaka ikiwa on processor yake si inatumika na ikiwa off processor yake si inakuwa imezima?Sasa kwa nini ikiwa off isiongeze life span ya simu kwa sababu processor ilipumzika?
Old is goldVya zaman n bora kulko vya kisasa au co