Kwa wewe mpumbavu usieelewa propaganda za waisrael vizuri, unaweza udhani kuwa Israel imepata madhara ya majengo tu. Lakini kwa watu wenye akili timamu kama vile mimi tumeona, na kushuhudia bila shaka madhara makubwa waliyopata waisrael kutoka kwa Iran ndo maana...
1. Marekani akaingilia kuisadia Israel kupambana na Iran, kitu ambacho kwa Ukraine hakikufanyika maana hawakuona madhara makubwa ya kuwafanya waingilie kuisaidia nchi hiyo.
2. Akaomba vita iishe ili nchi hiyo isije kumalizwa na makombora hatari ya Iran yaliokuwa yanadondoshwa nchini humo kutokea Iran huku mifumo ya anga ya Marekani, UK, Ufaransa, Ujerumani, Jordan, Saudi Arabia na Israel yenyewe ikishindwa kuzuia chochote. Yani ilikuwa ni kama vile kuzuia maji kwa kutumia tenga.
Sasa nisiandike mengi.. hebu angalia body languages za hao viongozi wakuu wa Israel na Ukraine hapo pichani ili ujue ni nani ambae nchi yake ilipata madhara zaidi. Na usisahau kuwa kuba mmoja nchi yake ipo vitani miaka zaidi ya miwili na mungine ni week 1 tu lakini kabaki mifupa mitupu shingoni.
Pia ukitaka kujua kuwa Israel ilipigwa vibaya na Iran, zaidi ya vile Ilivyopigwa Ukraine na Russia. Sikiliza kwa makini maneno ya Trump hapo kwenye video, halaf uniambie kati ya wewe myahudi wa manyovu Kigoma, na raisi Trump wa Marekani ambae kila kinachofanyika Israel anakifahamu nani mwenye uelewa zaidi.