Nimecheka ka mbuzi Kuona kisentensi hikiMleta mada ni moja ya wanaomshauri Samia, Tanzania ina uchumi mkubwa kuliko Marekani
Nimecheka ka mbuzi Kuona kisentensi hikiMleta mada ni moja ya wanaomshauri Samia, Tanzania ina uchumi mkubwa kuliko Marekani
Una uhakika vita imeisha kwa kufikia malengo yaliyokusudiwa au kwa usuluhishi? Hiyo vita ingeweza kuwa ya milele kama USA asingeingilia kati maana malengo ya wahusika ni makubwa na magumu. Iran ana lengo la kuifuta Israel na Israel lengo lake ni kudhohofisha utawala wa Iran na kuubadilisha kabisa! Unahisi hayo malengo yangefikiwa lini?Vita ya IRAN imechukua wiki moja kuisha kutokana na mashambulizi makali ya Iran Marekani ameona aingilie kati kuomba Casefire why not RussiaUjraine War?Kwa upande Russia ni miaka kadhaa mpaka sasa Operesheni haijaisha kitu ambacho kinatia shaka.
Ezekiel ndo kitu gani!?According to Ezekiel 38, in the end Russia will finally join in the war with Israel. Let's give it about 5years.
Na roho za raia wa Iran zilivyokuwa zinachomoka ulikuwa bado unanenepa tu!?Nimesikitika sana iran kusimamisha vita, maghorofa wa Israel yalivyokuwa yanakatika nilikua nanenepa kinouma
Hapana sisi Zanzibar sio ndugu zetu kabsa. Nilisoma Leeds university Uingereza na jamaa fulani wawili Wazanzibarl hawakutaka kabsa kujitambulisha kama Watanzania bali walitaka wajulikane kuwa ni Wazanzibari.Russia na Ukraine ni kama Tanganyika na Zanzibar hivyo puttin anawaonea huruma kuwapelekea moto wa nguvu
Una uhakika vita imeisha kwa kufikia malengo yaliyokusudiwa au kwa usuluhishi? Hiyo vita ingeweza kuwa ya milele kama USA asingeingilia kati maana malengo ya wahusika ni makubwa na magumu. Iran ana lengo la kuifuta Israel na Israel lengo lake ni kudhohofisha utawala wa Iran na kuubadilisha kabisa! Unahisi hayo malengo yangefikiwa lU
Ukilinganisha ukubwa wa hizo nchi na aina ya silaha walizokuwa wakitumia ni wazi kabisa hata miezi 2 isingefika, lengo la iran la kufanya israel iwe flat kabisq lingetimia.Una uhakika vita imeisha kwa kufikia malengo yaliyokusudiwa au kwa usuluhishi? Hiyo vita ingeweza kuwa ya milele kama USA asingeingilia kati maana malengo ya wahusika ni makubwa na magumu. Iran ana lengo la kuifuta Israel na Israel lengo lake ni kudhohofisha utawala wa Iran na kuubadilisha kabisa! Unahisi hayo malengo yangefikiwa lini?
***** katolewa Damu alijiona baunsa
Yes for sureAccording to Ezekiel 38, in the end Russia will finally join in the war with Israel. Let's give it about 5years.
Ila ww jamaa ni sunni damu kbsa 😀😀😀
AhhhhJibu ni kwamba uharibifu na madhara yaliofanywa na Iran nchini Israel kwa muda wa siku 12 ni makubwa mno, kuliko uharibifu na madhara yaliofanywa na Russia nchini Ukraine kwa zaidi ya miaka miwili.
Kama hii vita ingepiganwa japo mwezi mmoja. Nakuhakikishia kuwa huko Israel kusingekuwa na jengo hata moja lililosimama. Kila kitu kingekuwa chini kama jangwa la Muhimbili to Magomeni.
DahhhNimesikitika sana iran kusimamisha vita, maghorofa wa Israel yalivyokuwa yanakatika nilikua nanenepa kinouma
😀😀😀😀😀Iran watengwe sio watu wale mzigo unatoka 2000km ndio unashuka kupiga si hatari hiyo na mtu anakimbia..
Hii ni moja ya thread iliyoandikwa kwa uwezo mdogo sana wa kufikiri.Vita ya IRAN imechukua wiki moja kuisha kutokana na mashambulizi makali ya Iran Marekani ameona aingilie kati kuomba Casefire why not RussiaUjraine War?Kwa upande Russia ni miaka kadhaa mpaka sasa Operesheni haijaisha kitu ambacho kinatia shaka.
Ndio Nini?Casefire
Fafanua kwanini unasema nguvu ya kijeshi ya Russia ni ndogo na kwa kigezo gani?we measure weapons Quality(ubora) nakubaliana na wewe kuwa ni vita mbili tofauti but inaonekana Russia nguvu yake ya kijeshi ni ndogo na kumbuka hakuna mtu anayependa vita isiishe mapema.
1) Download hiyoEzekiel ndo kitu gani!?