Je, Russia hana ubavu kama Iran?

Je, Russia hana ubavu kama Iran?

Tatizo lako unalazimisha vitu. hakuna habari ya kubebana kila mtu anafaidika na mwenzake, China asiponunua gesi na mafuta kwa Urusi unategemea atanunua wapi.pale wapo karibu na Urusi walichofanya wamejenga mabomba ili usafirishaji uwe rahisi.au unafikiri mafuta na gesi kila nchi inavyo ?
Tufanye umeshinda bro.
Case closed.
 
Mkuu NATO agenda kubwa wakikutana ni kuijadili Urusi.
Bado ana nguvu zile zile aisee.
Kama nilivyosema baada ya Soviet union ku collapse Russia ndiye aliye inherit a large stockpile of USSR nuclear weapons, so hata NATO wanaogopa pale ambapo Putin ataamua kutumia hayo makombora itakuwa ni disaster
 
Inaamua mambo, kwasababu ku achieve hiyo status si jambo dogo, means you are well developed in all areas socially, politically, economically, scientifically, militarily, technologically than all other nations
Sasa hivi balance of power zimegawanyika.
Dunia ya sasa sio kama ya kipindi kile.
Unakuta taifa hili linaleta balance of power kijeshi mathalan Russia, lingine linaleta balance of power kiuchumi hususan China.
Dunia ya sasa hakuna super power wa kila kitu nooop mkuu.
 
Una uhakika vita imeisha kwa kufikia malengo yaliyokusudiwa au kwa usuluhishi? Hiyo vita ingeweza kuwa ya milele kama USA asingeingilia kati maana malengo ya wahusika ni makubwa na magumu. Iran ana lengo la kuifuta Israel na Israel lengo lake ni kudhohofisha utawala wa Iran na kuubadilisha kabisa! Unahisi hayo malengo yangefikiwa lini?
Ile vita isingeweza kua ya muda mrefu, Israeli hana uwezo wa kupiga vita virefu na Iran, kuna sababu kadhaa mojawapo ni udogo wa nchi ya Israeli, hana silaha za kutosha. vita ile ingechukua mwezi mmoja tu Israeli tayari ingekua imeshafutwa.
 
Kumbe yule Nabii wenu Tito ametokea Zanzibar ?? Hivi lile kanisa la mashoga la kipentekoste kule Mbeya kumbe ni Zanzibar ??
Kwa kukusaidia mashoga walio kimya hapo Zanzibar ni wengi kuliko hawa wanaojitangaza. Asilimia 90 ya wanawake wamefumuliwa buti na hii ni kwasababu kwa mijibu wa quran Mwanamke ni shamba na mwanaume anaruhusiwa kumwingilia atakavyo. Tena wanaume wanaruhusiwa kuyatumia matundu yote saba ya mwanamke. Mi mwanafunz mzur wa sheikh kipozeo mkuu
 
Sasa hivi balance of power zimegawanyika.
Dunia ya sasa sio kama ya kipindi kile.
Unakuta taifa hili linaleta balance of power kijeshi mathalan Russia, lingine linaleta balance of power kiuchumi hususan China.
Dunia ya sasa hakuna super power wa kila kitu nooop mkuu.
Ila still US ana retain superpower status
 
Back
Top Bottom