Je, Russia hana ubavu kama Iran?

Je, Russia hana ubavu kama Iran?

Hapo umetoa maelezo kimihemko na kishabiki tena sana.
-Sawa hatuwezi kumfananisha Iran na Urusi,ila HUWEZI ukamdogosha Iran kwa namna hiyo.

Tukianzia na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran Khordak na Bavar-373 imeonesha ufanisi kuliko hata mifumo ya ulinzi mathalan Iron dome.Tukio la shambulizi la Israel dhidi ya Iran 2024 Oktoba lilionesha uwezo wa ulinzi wa anga wa Iran.
Pia ukija kwa tukio hili la sasa tambua kuwa Israel imetumia mashushushu kuharibu miundombinu ya ADS ya Iran iliyopelekea miundombinu mingi kufeli na kushindwa kulinda anga.
Tambua Iran ni taifa lenye vikwazo since 1979 ila kwa alipofikia amejitahidi sana.
Hiyo Russia yenyewe iliwahi kutoa sapoti kwa IRAQ dhidi ya IRAN vita ya Iraq-Iran war ya 1980-1988 lakini Iran ikasimama imara.
Hiyo Urusi vikwazo ilivyowekewa na EU dhidi ya vita na Ukraine Urusi ilishaanza kutepeta kiuchumi,kama sio CHINA kuisaidia Urusi kwa financial aid basi Urusi isingesimama.

Hata hizo S-400 zilizopo Urusi zilishindwa kuzuia drones za Ukraine ziliposhambulia ndani ya Urusi.

Sawa sio sahihi kumfananisha Urusi na Iran,ila SIO SAWA KUMDOGOSHA IRAN kama ulivyodai mkuu.

Maelezo yako yapo too biased.
Ni ngumu kuficha madhaifu na mazuri ya Iran hata kama tunamshabikia. Kwenye upande wa balistic kiukweli aliwekeza nguvu kubwa na kweli imemsaidia sana ilo alikwepeki, vita vime balance kwa sababu ya uwezo walionyesha kwenye balistic ila ukija upande wa defence ipo wazi kuwa wameferi pakubwa sana kwa sababu kutokuzingatia maadui zao wanatumia mbinu gani vitani.

Hakuna chanzo chochote kile kinachotoa ushahidi juu ya msaada wa China kwa Urusi , Urusi kinachomsaidia ni nchi kubwa kwenye upande wa natural resources, ulaya na Marekani wanamtegemea zaidi Urusi kuliko Urusi anavyowategemea wao ila Iran anawategemea zaidi Ulaya na Marekani kuliko wao wanavyomtegemea.
 
Ni ngumu kuficha madhaifu na mazuri ya Iran hata kama tunamshabikia. Kwenye upande wa balistic kiukweli aliwekeza nguvu kubwa na kweli imemsaidia sana ilo alikwepeki, vita vime balance kwa sababu ya uwezo walionyesha kwenye balistic ila ukija upande wa defence ipo wazi kuwa wameferi pakubwa sana kwa sababu kutokuzingatia maadui zao wanatumia mbinu gani vitani.

Hakuna chanzo chochote kile kinachotoa ushahidi juu ya msaada wa China kwa Urusi , Urusi kinachomsaidia ni nchi kubwa kwenye upande wa natural resources, ulaya na Marekani wanamtegemea zaidi Urusi kuliko Urusi anavyowategemea wao ila Iran anawategemea zaidi Ulaya na Marekani kuliko wao wanavyomtegemea.
Upande wa Air defense Iran amezidiwa kwasababu ya mashushushu wa Mossad kuharibu Ile mitambo wakiwa ndani ya Iran.
Ila kama Israel wasingefanya hivyo basi Khordak na Bavar zikezuia mashambulizi kama mwaka Jana Oktoba.
Nadhani Israel walifanya homework kuhusu shambulio lao la mwaka Jana dhidi ya Iran lilipofeli.
Ndio maana wakatumia mbinu nyingine kuidhoofisha mfumo wa ulinzi wa anga wa Iran.
Iran haitegemei Marekani Wala Ulaya,Iran amekua na vikwazo nchi inayomsaidia kibiashara ni China na Urusi na Venezuela.

Nikuletee ushahidi wa CHINA kuhusika kumsaidia Urusi kifedha baada ya vikwazo vya kiuchumi!?
 
Mtoa mada ebu acha matusi kufananisha Urusi na vitu vya kijinga.yani mashambulizi ya Iran kweli ufananishe na ya Urusi. Yani makombola yaliyotupa Israel ni mara 8000 ya makombola yaliyorupwa Ukraine, na ualibifu ni mara 3000 ya ualibifu wa Israel.
Israel asingeomba poo na raia wasingeikimbia Israel
 
Mkielewa malengo ya beberu hamtapata tabu, issue ilikuwa fordow, sifan I mean vituo vya kuzalisha bomu la nyuklia mission accomplished iran kalemazwa tayari halafu anaitwa kwenye meza ya mazungumzo.
 
Upande wa Air defense Iran amezidiwa kwasababu ya mashushushu wa Mossad kuharibu Ile mitambo wakiwa ndani ya Iran.
Ila kama Israel wasingefanya hivyo basi Khordak na Bavar zikezuia mashambulizi kama mwaka Jana Oktoba.
Nadhani Israel walifanya homework kuhusu shambulio lao la mwaka Jana dhidi ya Iran lilipofeli.
Ndio maana wakatumia mbinu nyingine kuidhoofisha mfumo wa ulinzi wa anga wa Iran.
Iran haitegemei Marekani Wala Ulaya,Iran amekua na vikwazo nchi inayomsaidia kibiashara ni China na Urusi na Venezuela.

Nikuletee ushahidi wa CHINA kuhusika kumsaidia Urusi kifedha baada ya vikwazo vya kiuchumi!?
Niletee uwo ushahidi wa kuonyesha Urusi inasaidiwa kifedha
 
Upande wa Air defense Iran amezidiwa kwasababu ya mashushushu wa Mossad kuharibu Ile mitambo wakiwa ndani ya Iran.
Ila kama Israel wasingefanya hivyo basi Khordak na Bavar zikezuia mashambulizi kama mwaka Jana Oktoba.
Nadhani Israel walifanya homework kuhusu shambulio lao la mwaka Jana dhidi ya Iran lilipofeli.
Ndio maana wakatumia mbinu nyingine kuidhoofisha mfumo wa ulinzi wa anga wa Iran.
Iran haitegemei Marekani Wala Ulaya,Iran amekua na vikwazo nchi inayomsaidia kibiashara ni China na Urusi na Venezuela.

Nikuletee ushahidi wa CHINA kuhusika kumsaidia Urusi kifedha baada ya vikwazo vya kiuchumi!?
Hayo ni maneno ya kijiweni.iyo mifumo imearibiwa vipi ebu tupeni iyo taarifa
 
Niletee uwo ushahidi wa kuonyesha Urusi inasaidiwa kifedha
Anza na hiyo.
Screenshot_20250702-111428.png
Screenshot_20250702-111439.png
Screenshot_20250702-111451.png
 
Mkuu hivi shambulizi la Israel dhidi ya Iran mwaka Jana hukuona jinsi lilivyozuiliwa na Bavar-373!?
Awamu hii Mossad ndani ya Iran waliharibu ADS kwa milipuko ya kutegwa.
Hakuna repoti ya kuonyesha kwamba kuna uaribifu wa ndani wa mfumo wa SAM.kama juzi ulimsikiliza Putin kwenye interview basi utajua ni kiasi gani Iran walijiona wamekuwa mbele ya Warusi.kitendo cha kuona mifumo yao ni bora kuliko S-300 na S-400 ilikuwa ni kosa kubwa sana.
Sasa ivi wameamua kujiongeza kutafuta ndege ambazo zitapambana na F-16 na F-35 ila ubaya wanapoenda sio pa kuamini.mchina sio mtu wa kumuamini.
 
Ile roho ya Wairan inatakiwa niwe nayo hata nusu tu ili mambo yaende aisee wale jamaa ni kiboko isingekuwepo mitandao tungedanganywa sana aisee..
 
Hakuna repoti ya kuonyesha kwamba kuna uaribifu wa ndani wa mfumo wa SAM.kama juzi ulimsikiliza Putin kwenye interview basi utajua ni kiasi gani Iran walijiona wamekuwa mbele ya Warusi.kitendo cha kuona mifumo yao ni bora kuliko S-300 na S-400 ilikuwa ni kosa kubwa sana.
Sasa ivi wameamua kujiongeza kutafuta ndege ambazo zitapambana na F-16 na F-35 ila ubaya wanapoenda sio pa kuamini.mchina sio mtu wa kumuamini.
Ni wewe unasema.
Ripoti zililetwa humu mifumo kuharibiwa hadi kwa cyber attack na kwa vilipuzi vya kutegwa.
Na kama Umesahau shambulizi la mwaka Jana la Israel dhidi ya Iran miongoni mwa ADS iliyo corrupt katika kulinda ni S300 ambayo ilikua inalinda Khomeini airport.
Ripoti zililetwa sana humu.
Kama mifumo ya ulinzi ya Iran ingekua Haina uwezo tangu mwaka Jana Israel angefanikiwa kuibutua Iran alipoenda kushambulia kwa ndege 100.

Kutaka kupata j10C fighter jets ni sahihi kwa Iran ili na yeye awe na air supremacy.
 
Si ndo yale yale niliyokwambia kuwa Dunia hii ukiwa na natural resources za kutosha uwezi kufa njaa.iyo ni biashara na sio msaada
Umesoma maelezo vizuri??
Kabla ya 2022 biashara haikuwa ikifanyika kwa wingi namna hii kama ilivyofanyika kuanzia 2022 kuja juu.
It means China amefanya kama favour kufanya MASS IMPORTATION ya bidhaa za Urusi kuja kwake China.
Kama kweli unajua ni nini maana ya favor kwenye biashara.
 
Jibu ni kwamba uharibifu na madhara yaliofanywa na Iran nchini Israel kwa muda wa siku 12 ni makubwa mno, kuliko uharibifu na madhara yaliofanywa na Russia nchini Ukraine kwa zaidi ya miaka miwili.

Kama hii vita ingepiganwa japo mwezi mmoja. Nakuhakikishia kuwa huko Israel kusingekuwa na jengo hata moja lililosimama. Kila kitu kingekuwa chini kama jangwa la Muhimbili to Magomeni.
We kweli kilaza. Madhara kwako ni hayo majengo sio. Ushaona maji Russia alivyoiharibu
 
Umesoma maelezo vizuri??
Kabla ya 2022 biashara haikuwa ikifanyika kwa wingi namna hii kama ilivyofanyika kuanzia 2022 kuja juu.
It means China amefanya kama favour kufanya MASS IMPORTATION ya bidhaa za Urusi kuja kwake China.
Kama kweli unajua ni nini maana ya favor kwenye biashara.
Ujue hata wewe kama ulikuwa na mteja wako anachukua kilo 2 alafu yupo mwingine anachukua nusu, yule wa kilo 2 akasusa kuchukua kilo 2 lakini yule wa nusu alivyosikia mwenzake kasusa yeye akakwambia yupo tayari kuongeza kiasi kingine. Je! utashindwa kufanya nae biashara kubwa zaidi
 
Ni wewe unasema.
Ripoti zililetwa humu mifumo kuharibiwa hadi kwa cyber attack na kwa vilipuzi vya kutegwa.
Na kama Umesahau shambulizi la mwaka Jana la Israel dhidi ya Iran miongoni mwa ADS iliyo corrupt katika kulinda ni S300 ambayo ilikua inalinda Khomeini airport.
Ripoti zililetwa sana humu.
Kama mifumo ya ulinzi ya Iran ingekua Haina uwezo tangu mwaka Jana Israel angefanikiwa kuibutua Iran alipoenda kushambulia kwa ndege 100.

Kutaka kupata j10C fighter jets ni sahihi kwa Iran ili na yeye awe na air supremacy.
S-300 zilienda kwa ajili ya mafunzo ili mzigo utakapokuwa tayari basi wasipate shida kutumia.ila cha ajabu Iran alivunja mkataba akasema mzigo umechelewa kufia kumbe ashatengeneza za kwake.
 
Back
Top Bottom