kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
- Thread starter
- #41
Utawaondoaje kila siku wanawapa shavu watoto masikini wanaojua kujipendekeza kina HumphreyHuo ndio mkataba yeye au mama yake hujaelewa mama yake kwann ameenda kupambana kwao apate ubunge. na huyu akimaliza mtoto wa jPM anapewa urais, huu mziki wa ccm tutauweza endapo tutaweza kuwaondoa mapema sana ili chama kife kabisa