yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,527
- 1,913
Habari wana bodi,
Kwanza nikiri kabisa kuwa tukio la kipigwa risasi kwa Tundu Lissu mie lilinishtua sana na kunisikitisha. Naamini kupigwa risasi kwa Tundu lissu kulipangwa, lakini kuamini kuwa serikali ilihusika ni ujinga na umbirikimo wa fikra, siamini kama serikali inaweza kufanya jambo la kijinga kiasi hicho.
Hoja yangu kubwa hapa ni kuwa je Tundu Lissu anafaa kupewa Urais kwenye uchaguzi ujao kisa tu kapigwa risasi na kunusulika kufa?
Kwanza nikiri kabisa kuwa tukio la kipigwa risasi kwa Tundu Lissu mie lilinishtua sana na kunisikitisha. Naamini kupigwa risasi kwa Tundu lissu kulipangwa, lakini kuamini kuwa serikali ilihusika ni ujinga na umbirikimo wa fikra, siamini kama serikali inaweza kufanya jambo la kijinga kiasi hicho.
Hoja yangu kubwa hapa ni kuwa je Tundu Lissu anafaa kupewa Urais kwenye uchaguzi ujao kisa tu kapigwa risasi na kunusulika kufa?