mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,952
- 9,854
Wanaweza wakabadili katiba ili yesu wa Tanzania awatawele wanyonge milele.Ni mapema sana. Hatuna uhakika kufikia 2025 mambo yatatokea kama tunavyo tarajia.
Wanaweza wakabadili katiba ili yesu wa Tanzania awatawele wanyonge milele.Ni mapema sana. Hatuna uhakika kufikia 2025 mambo yatatokea kama tunavyo tarajia.
Kwaiyo una maanisha?
Naunga mkono hojaNext president wa URT atakuwa dr Hussein Mwinyi
Nani wa kuzuia usultan?Hii nchi siyo ya kisultani
TISS ndiyo electoral college ya Tanzania.Wapiga kura ni TISS kwani Watanzania wana maamuzi!
Habari za leo wakubwa?
Kama tulivyoona kilichotokea Zanzibar maji kufuata mkondo. Je, itawezeka na huku Tanzania bara?...
Tuna safari ndefu.TISS ndiyo electoral college ya Tanzania.
Tuna safari ndefu.
Next president atakuwa Dr shika trust meHabari za leo wakubwa?
Kama tulivyoona kilichotokea Zanzibar maji kufuata mkondo. Je, itawezeka na huku Tanzania bara?...
Hata kuku zitakuwa rais kwa mwendo tunaokwenda naoHabari za leo wakubwa?
Kama tulivyoona kilichotokea Zanzibar maji kufuata mkondo. Je, itawezeka na huku Tanzania bara?...
akitokea kaburini? he is deadNext president atakuwa Dr shika trust me
Hizi ndoto hizi, kwanini usijitabirie MwenyeweHabari za leo wakubwa?
Kama tulivyoona kilichotokea Zanzibar maji kufuata mkondo. Je, itawezeka na huku Tanzania bara?
Kama tujuavyo uchaguzi ujao 2025 ni zamu ya upande wa dini nyingine kutoa mgombea yaani (Muslims)
Nimekaa nimetafakari nikaona kabisa huku tunaweza kufanyiwa kama Zanzibar the next One ni Ridhiwani mtoto pendwa na maarafu wa mzee wetu Jakaya.
Je, ataweza kufikia hata robo ya utawala wa Baba yake? Njoo utoe maoni yako.
View attachment 1627663
Habari za leo wakubwa?
Kama tulivyoona kilichotokea Zanzibar maji kufuata mkondo. Je, itawezeka na huku Tanzania bara?
Kama tujuavyo uchaguzi ujao 2025 ni zamu ya upande wa dini nyingine kutoa mgombea yaani (Muslims)
Nimekaa nimetafakari nikaona kabisa huku tunaweza kufanyiwa kama Zanzibar the next One ni Ridhiwani mtoto pendwa na maarafu wa mzee wetu Jakaya.
Je, ataweza kufikia hata robo ya utawala wa Baba yake? Njoo utoe maoni yako.
View attachment 1627663