Je, Rais Samia Suluhu ndo Deng Xiaoping wa Tanzania?

Fuatilia siasa za Singapore alafu Njoo tena urudi humu. Kwenye ubabe wa kisiasa kunaweza kuwa na wawekezaji wengi tu ili mradi ubabe wenu wa kisiasa hauathili uwekezaji wao
Huko ni mbali afuatilie Ethiopia,Rwanda, Cameroon,Uganda,Egypt nk nk .. Wafanyabiashara hatuna shida na mambo yao ya siasa ilimradi sisi pesa inaingia.

Shida ya Magu ilikuwa kuharibu siasa na kuharibu biashara sasa matokeo ndio hayo ila angeendelea kuwafunga chadema uchumi uko sawa wala hakuna shida yoyote
 
Huko ni mbali afuatilie Ethiopia,Rwanda, Cameroon,Uganda,Egypt nk nk .. Wafanyabiashara hatuna shida na mambo yao ya siasa ilimradi sisi pesa inaingia.

Shida ya Magu ilikuwa kuharibu siasa na kuharibu biashara sasa matokeo ndio hayo ila angeendelea kuwafunga chadema uchumi uko sawa wala hakuna shida yoyote
Bora hizo nchi za kiafrika anaweza sema hazina chumi kubwa sana. Singapore ndo mwisho wa hesabu.
.........Yule mzee nafasi ya juu aliyotakiwa kupata ni Waziri Mkuu. Ilikuwa ni kosa sana kumpa Madaraka ya kuwa mwamuzi wa mwisho kwenye Taifa hili.
 
Fuatilia siasa za Singapore alafu Njoo tena urudi humu. Kwenye ubabe wa kisiasa kunaweza kuwa na wawekezaji wengi tu ili mradi ubabe wenu wa kisiasa hauathili uwekezaji wao
Mbona Magufuli alikuwa mbabe halafu wakakimbia?? Ubwbe na uwekezaji ni sawana maji na moto. Kasome nadharia ya vugezo vya uwekezaji urudi tena hapa.
 
Mie hali ilianza kunishtua mwaka 2018. Mjini kampuni nyingi zilianza kupunguza wafanyakazi. Nyingine zikaanza kubana matumizi. Posta nikaanza kuona inakufa, Quality Centre na Quality Plaza ndo hadi zilinitoa machozi maana pale ni maelfu ya watu walipoteza ajira.
Rungeendelea na ule uchumi wa JK kwa mfano hakuna mtu angekuwa anawaza kuajiriwa maana ukijiajiri pesa ilikuwepo na nakumbuka watu walikuwa wanaacha Kazi za serikali wanaenda private.

Kipindi hicho nilikuwa Dar nafanya kibarua Uchumi Super market ya Kenya na ndio mall zilikuwa zimeanza kuingia but hadi 2016 jamaa walifungasha waksepa biashara zilinza kuharibiwa na Magu.

Mwendazake bwana miaka 5 hakuna alichofanya cha maana reli alizoanza zitaishia kuwa na jina la Samia na ndani ya miaka hii mitano atazimaliza na kuzindua.

Uchumi hauhitaji mtutu bali akili tuu
 
Bora hizo nchi za kiafrika anaweza sema hazina chumi kubwa sana. Singapore ndo mwisho wa hesabu.
.........Yule mzee nafasi ya juu aliyotakiwa kupata ni Waziri Mkuu. Ilikuwa ni kosa sana kumpa Madaraka ya kuwa mwamuzi wa mwisho kwenye Taifa hili.
Yaa Kazi za unyapala ndio zilitakiwa kushika vinginevyo imekuwa disaster,Darb ilipauka utafikiri sio Jiji kuu ,sekta ya nyumba ilijifia kifo cha mende yaani..Sitaki hata kumkumbuka yule jamaa,alikuwa anawalisha propaganda watu maskini wa akili na mali eti majizi sijui mzalendo mara ajifanye yeye ndo Alfa na omega yaani ni shida.
 
Aache kupambana na upinzani kwanza na kuwawekea vikwazo otherwise atakwama haraka sana

Huyu unayemsema aliunganisha kwanza nchi then ndio akaanza kujenga uchumi!
 
Mada inamuhusu Rais Samia Ila ndani yake ilimgusia Magufuli kidogo
Sikiliza ndugu, tz haijawahi kuwa na siasa mbovu za kuhatarisha uwekezaji wowote kutoka nchi za magaharibi.

JK alimleta hadi Obama hapa tz. Sasa niambie kwa diplomasia ile ya JK, kuna uwekezaji gani wa nchi ya Marekani hapa nchini?

Marekani inachofanya siku zote ni kutoa vi misaada kadhaa za kufadhili vi miradi mbalimbali vya kimasikini katika nchi kama tz lakini haina uwekezaji wowote wa maana!

By the way, naona unasema utafufua huu uzi wako 2030 wakati Samia anamalizia ungwe yake! Vipi ina maana 2025 huna mpango wa kumpigia kura Lisu tena?
 
Sikiliza ndugu, tz haijawahi kuwa na siasa mbovu za kuhatarisha uwekezaji wowote kutoka nchi za magaharibi.

JK alimleta hadi Obama hapa tz. Sasa niambie kwa diplomasia ile ya JK, kuna uwekezaji gani wa nchi ya Marekani hapa nchini?

Marekani inachofanya siku zote ni kutoa vi misaada kadhaa za kufadhili vi miradi mbalimbali vya kimasikini katika nchi kama tz lakini haina uwekezaji wowote wa maana!

By the way, naona unasema utafufua huu uzi wako 2030 wakati Samia anamalizia ungwe yake! Vipi ina maana 2025 huna mpango wa kumpigia kura Lisu tena?
Citi bank ni kina nani? Unadhani wale Baricc ni kina Nani??
 
Aache kupambana na upinzani kwanza na kuwawekea vikwazo otherwise atakwama haraka sana

Huyu unayemsema aliunganisha kwanza nchi then ndio akaanza kujenga uchumi!
Ushawai sikia mauaji ya Tiananmen Square? Unadhani nani alikuwa Rais wa China kipindi icho?
 
Mwinyi aliwahi kufanya hivyo na kikwete pia,

Hivyo Uzi wako sio relevant.
 
Mwinyi aliwahi kufanya hivyo na kikwete pia,

Hivyo Uzi wako sio relevant.
Kwani Mwinyi aliingia Madarakani baada ya Nyerere kufariki? Au Kikwete aliingia madarakani baada ya Mkapa kufariki?
 
Back
Top Bottom