Je, Rais Samia Suluhu ndo Deng Xiaoping wa Tanzania?

Tanzania inaweza kua inarudishwa nyuma kutokana ukweli kua vijana wengi sio wazalishaji wapo kwenye uchuuzi mdogo mdogo na hii dhana ya machinga free ni kiua akili ya ubunifu,Mama anaweza kua na nia njema lakini nchi haita nufaika kitechnolojia kwa watu wake wanasubiri bidhaa nje ya viwanda.
 
Tanzania inaweza kua inarudishwa nyuma kutokana ukweli kua vijana wengi sio wazalishaji wapo kwenye uchuuzi mdogo mdogo na hii dhana ya machinga free ni kiua akili ya ubunifu,Mama anaweza kua na nia njema lakini nchi haita nufaika kitechnolojia kwa watu wake wanasubiri bidhaa nje ya viwanda.
Sio kwamba vijana wazalishaji hawapo?? Hapana wapo sana. Kila mwaka VETA inatoa wahitimu wa kada mbalimbali ila shida ni kuwa Hakuna mechanism Nzuri ya kuwaingiza kwenye sekta ya uzalishaji.
Tuone reformations anazozidi kuzifanya, ikifika 2030 kama akiwa bado ni Rais itakuwa kipindi kizuri cha kuhitimisha hii hoja.
 
Back
Top Bottom