Je, Rais amevunja Katiba kwa kuteua cheo nje ya Katiba?

Kumbuka tu: Ikiwa Rais wa Tanzania ana uwezo mpaka wa kuteua na kutenguwa Rais wa nchi nyingine atakosa uwezo wa kuteua naibu waziri mkuu?
Uongo mtupu...

Ateue sasa Rais mpya wa Gabon maana aliyekuwapo ameshapinduliwa.
 
KWANI KASSIM MWENYEWE ANASEMAJE?
TUANZIE HAPO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…