Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,753
- 39,925
Ila hapo juu umeandika ulitumia fresh ikiwa na battery.Ahaaa sawa mkuu.......
Lkn mbna hata nikichomeka betri .lenye charge...bila kuweka kwenye chaji.....bado inazingua
Ila hapo juu umeandika ulitumia fresh ikiwa na battery.Ahaaa sawa mkuu.......
Lkn mbna hata nikichomeka betri .lenye charge...bila kuweka kwenye chaji.....bado inazingua
Yaaah mkuu.....nlitumia vizur ikiwa na betri.....ila baada ya betri kutoa notification ya low battery (kabla haijazima) nikaiweka chargeIla hapo juu umeandika ulitumia fresh ikiwa na battery.
Yaah inaweza kuwa ni adapta kama alivyosema hapo juu....jaribu kushare
Ndio kanunue RAM mafundi wengi wanazo. Hilo tatizo halihusian na charge supply, ram zimeshakufaPc yangu ina ram 2 mkuu.....so inatakiwa zibadilishwe zote?!?
Shukran mkuu.....atleast nikienda kwa fundi sitakuwa mweupe kichwani
Kuna sakiti 3 ziliungua kwenye madhineMkuu hii shida yako uliimalizaje?
Maana mimi pia niko na pc kama hiyo na shida kama hiyo
Shukran