Waungwana wa tech salaam!
Nina tatizo. Nimenunua used laptop, HP Elite Book from Dubai. Baada ya kufika tu (jana), yule mtu ambae nilimtuma kuifuata akaiwasha na ikawaka lakini chaji ilikuwa down sana na hivyo akaamua kuichaji. Chaji ikawa haiingii na mwisho wa yote laptop ikazima na hivi sasa haiwaki tena.
Yafuatayo ndiyo nime-notice:
1. Ukii-plug na kuwasha (au hata usipowasha), power indicator ina-blink mara 8 na ile ya tisa inaji-off jumla
2. Ukii-switch on pasipo na betri au ikiwa na betri lakini bila kuwa plugged, orange light ina-blink mara 8 kisha inapotea!
ALL in all, haiwaki kabisa.
Ingawaje mimi sio mtalaamu lakini nadhani tatizo sio motherboard kwa sababu, kama nilivyosema hapo kabla, laptop iliwaka na baadae kuzima kwa kukosa chaji.
Amabcho ningependa kufahamu ni:
1. Je, tatizo inaweza kuwa ni system charge au inaweza pia kuwa motherboard ingawaje hadi laptop inazima, ilikuwa poa tu.
2. Kama tatizo ni mfumo wa chaji, gharama za kurekebisha inakuwa vipi! Hapa ningependa kufahamu hili suala manake nina option ya kuisafirisha back to Dubai.
Hapa chini ni betri yake ambayo ina ukubwa wa tablet
Nina tatizo. Nimenunua used laptop, HP Elite Book from Dubai. Baada ya kufika tu (jana), yule mtu ambae nilimtuma kuifuata akaiwasha na ikawaka lakini chaji ilikuwa down sana na hivyo akaamua kuichaji. Chaji ikawa haiingii na mwisho wa yote laptop ikazima na hivi sasa haiwaki tena.
Yafuatayo ndiyo nime-notice:
1. Ukii-plug na kuwasha (au hata usipowasha), power indicator ina-blink mara 8 na ile ya tisa inaji-off jumla
2. Ukii-switch on pasipo na betri au ikiwa na betri lakini bila kuwa plugged, orange light ina-blink mara 8 kisha inapotea!
ALL in all, haiwaki kabisa.
Ingawaje mimi sio mtalaamu lakini nadhani tatizo sio motherboard kwa sababu, kama nilivyosema hapo kabla, laptop iliwaka na baadae kuzima kwa kukosa chaji.
Amabcho ningependa kufahamu ni:
1. Je, tatizo inaweza kuwa ni system charge au inaweza pia kuwa motherboard ingawaje hadi laptop inazima, ilikuwa poa tu.
2. Kama tatizo ni mfumo wa chaji, gharama za kurekebisha inakuwa vipi! Hapa ningependa kufahamu hili suala manake nina option ya kuisafirisha back to Dubai.
Hapa chini ni betri yake ambayo ina ukubwa wa tablet