DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,517
- Thread starter
- #61
Hawa ndugu Kaa nao mbali na venye una mke mzungu na Uropa umetimba yaani wanateseka Sana Sana wanatamani wawe karibu yako wakuroge urudi ulikotoka
Wajumbe sio watu,
Adui Yako ni mtu wa nyumbani mwako Kaa nao mbali kataa shobo
Kama unawasaidia watumie pocket money ila usikaribiane nao wakusikie Kwa Bomba tu Jenga ukaribu na hao ndugu zako wa tumbo Moja mkuu ndio ndugu wa kweli wengine hao wanakupendea vitu tu!
Beelzebub is devil put aside of you!
Very true. Ndugu zangu tumbo moja wanafaidi na wana access na mimi bila matatizo. Ninawanyanyua kadiri navyoweza ila wale wengine wanatafuta sana namna ya kunifikia angalau wafaidi.