Je, nimekosea kuwapotezea baadhi ya ndugu zangu? Naomba ushauri tafadhali

Fact ni kwamba hiyo hela haitarudi na ukiidai kwa nguvu ndio undugu wenu utaisha kabisaaa..
Ukianguka hawatakusaidia hao nikukumbushe tu
Kama kukopa bank , vicoba , microfinance zipo waambie wakakopee huko.
Undugu uwe salam tu na kujuliana hali kama waliweza kuishi bila wewe kipindi hicho wajifunze kuishi bila wewe kipindi hiki pia.

Nimepokea huu ushauri
 
Back
Top Bottom