DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,517
- Thread starter
- #81
Na famaham tunakushauri from experience
Nasema haya Kwa kupitia same scenerio Ila Mimi ni ilikuwa dingi mdogo...
Yani mwaka wa tano saiz kimyaaa nimenyuti maisha yanaenda shida iliowafanya waombe msamaha nilisaheme Ila kuitatua nilikaza Sina Hela althogh wanaona lifestyle..ao Wanae waliokuwa vinara wa vijembe alikuja magu akawanyoosha mavyeti feki wakarudi mabench heshma ikarejea ..tunaonana status tu Ila Cha msingi shida haziishi na hawafi bas waendelee kupambana kama nami navopambana
Nanyenyekea mkuu. Hakika nakumbuka hata kwenda chuo ilibidi nipigane sana tu Dar mpaka nilipopata kazi ya uhakika nikajiunga KIU kwa vipindi vya jioni hapo nawasomesha pia wadogo zangu maana Mzee hapo Hana kitu.