Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
Nakushauri Dala.... tumia lugha nzuri yenye diplomasia kwa ndg zako... kama hutaki kusaidia. tafuta sbb ya kueleweka ili waridhie.. usikatae ili mradi tu.. kuwa muungwana na mpole.Kipato kwa kweli nashukuru ninacho cha kunitosha kununua mboga tatizo historia inanisumbua sana