kazi kweli kweli. Kupewa makavu live kuwa hujui kituu! Khaa
sun siamini kama najua naelewe kua ukweli umuweka mtu huru
Sijui huyo dada alijisikiaje...itamfanya asijiamini tena kwenye mahusiano mengine
duh mkuu ukweli gani sasa huo ? kuna lugha za kidiplomasia ungemwambia tujaribu hiki au mimi hupenda hiki zaidi wewe angekwambia hujui kweli ungeweza kuendelea na tendo vizuri ? By the way kujua is subjective wewe ukikutana na anadhani anajua zaidi akikwambia hujui au humridhishi utajisikiaje (je itakufanya ujue au uchukue tuituion) hata kama wewe utapuuzia binadamu tupo tofauti na maneno yanamu-affect mtu tofauti (na ubaya wa maneno hayana rewind hivyo ni bora kufikiri kabla ya kuongea) inawezekana ushamuharibia na kumpotezea confidence future girlfriend wa mtu... naomba mtafute umuombe msamaha na umconvice ulikuwa unatania
hata mimi mwanaume namchana tu live kuwa hajui ya nini kuachwa na shombo.
Haihuuuuuu hata kiduchu.
Mleta mada yupo sahihi kabisa kama msichana mjanja atajua afanye nini.
unajua kufua wewe?
Sijui huyo dada alijisikiaje...itamfanya asijiamini tena kwenye mahusiano mengine
hata mimi mwanaume namchana tu live kuwa hajui ya nini kuachwa na shombo.
Haihuuuuuu hata kiduchu.
Mleta mada yupo sahihi kabisa kama msichana mjanja atajua afanye nini.
hehehe! Tena unamwambia asikupake shombo na 'kinukta' chake. Lol!
Tuacheni utani bana, makavu ya live hasa kwenye malavidav yanaumajee!
We si umesema hujui wewe....?
Helo. Kuna mdada alinisumbua kwa zaidi ya mwaka japo nilimpenda toka moyoni, nikavumilia kalenda zake. Baada ya kuninyanyasa kwa muda mrefu ikatokea akakubali tukawa nae kwa amani. Siku moja akanionjesha penzi lake sifichi hajui lolote na kutokana na hilo upendo wangu wote ukaisha ila nikana c vyema kumuacha kwenye mazingira ya kua kimya nikamwambia hanifai kwani HAJUI LOLOTE YUPO YUPO TU na mbaya zaidi hata akinifulia nguo naziona km hazijafuliwa. Je nilikosea?
we hamisssy! Sijui ndio, hiyo nimekopi sehemu.
Kwani wewe amu ulizaliwa unajua??si ulijifunza??kama ndo hivo utabadilisha wangapi??na kuna ubaya gani kumfundisha kama kweli unampenda?? unless unambie wewe ni dizain ya mzabzab hapendwi mtu migegedo tu
Kwani wewe amu ulizaliwa unajua??si ulijifunza??kama ndo hivo utabadilisha wangapi??na kuna ubaya gani kumfundisha kama kweli unampenda?? unless unambie wewe ni dizain ya mzabzab hapendwi mtu migegedo tu
Umekopi kwa nani? Mwan'tunu au Mwan'jaha?