Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,104
- 136,769
sijui, we unajua hamisi?
Hata mi sjui.
sijui, we unajua hamisi?
Hata mi sjui.
afadhali hujui.
Kwa nini afadhali? Unataka mi na wewe tufundishane?
mwenzako mi naogopaaa!
Duuuu.kazi
Unaogopa dudu?
hee,sina la kusema.nimeishia kushangaa tuUnaogopa dudu?
Sun najua yote hayo yanahitajika. Kwa mara ya kwanza au ya pili unaelewa kua hapa game waweza haribu wewe au yeye. Ila nilishindwa baada ya kuona sipati ninachostahili
hee,sina la kusema.nimeishia kushangaa tu
mmmh!
.
Umekosea sana Mkuu. Hakuna anayejua mapenzi.Kinachotokea ni kwamba,kuna sehemu hukuta tunavyovihitaji.Hapo tunawasifu wenzi wetu na kuwaona wanajua.Lakini,kwa wengine hao hao nao hawajui. Ulichotakiwa kukifanya ni kumueleza kwa upole kama wakati unamtongoza na kumwambia namna unavyotaka awe na afanye. Angefundishika Mkuu...hukufanya fair
Ha ha haa unajua sisi ambao tunajua kwamba hatujui sometimes ni bora kuliko wale ambao hawajui kwamba hawajui...
Anyway naamini there is always room for improvement hata kwa wale ma-don wa mapenzi kama alieleta uzi (na ameonyesha kwa kauli zake hata sisi tusiojua tunaona amekosea)
Ha ha haa unajua sisi ambao tunajua kwamba hatujui sometimes ni bora kuliko wale ambao hawajui kwamba hawajui...
Anyway naamini there is always room for improvement hata kwa wale ma-don wa mapenzi kama alieleta uzi (na ameonyesha kwa kauli zake hata sisi tusiojua tunaona amekosea)
Helo. Kuna mdada alinisumbua
kwa zaidi ya mwaka japo nilimpenda toka moyoni, nikavumilia kalenda
zake. Baada ya kuninyanyasa kwa muda mrefu ikatokea akakubali tukawa nae
kwa amani. Siku moja akanionjesha penzi lake sifichi hajui lolote na
kutokana na hilo upendo wangu wote ukaisha ila nikana c vyema kumuacha
kwenye mazingira ya kua kimya nikamwambia hanifai kwani HAJUI LOLOTE
YUPO YUPO TU na mbaya zaidi hata akinifulia nguo naziona km
hazijafuliwa. Je nilikosea?
mi namshauri amfundishe hayo maujuzi tu taratibuu fani itaeleweka.