Je nimekosea kumwambia hajui mapenzi?

Je nimekosea kumwambia hajui mapenzi?

mara ya kwanza kumdate mwanamke ulikuwa unayajua hayo mpnz??na je huyo mwanamke alikwambia hujui chochote?

Heartless man



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hata mimi mwanaume namchana tu live kuwa hajui ya nini kuachwa na shombo.
Haihuuuuuu hata kiduchu.
Mleta mada yupo sahihi kabisa kama msichana mjanja atajua afanye nini.
HIVI as a woman unajuaje kama performance yako ni below par-maana many a men wont tell you-the reality lorry likiwa halina mzigo misele mingi tu-the moment linapopakia mzigo ni straight line tu,sadly this true
 
HIVI as a woman unajuaje kama performance yako ni below par-maana many a men wont tell you-the reality lorry likiwa halina mzigo misele mingi tu-the moment linapopakia mzigo ni straight line tu,sadly this true

uamuzi wangu kupiga perfomance ya nguvu au ya kibishoo kwa hiyo hata kabla hujaniambia mie nimeshajua .
Back to topic
we unaonaje amekosea hajakosea?
 
Hilo ndilo jibu. Huyu jamaa alikuwa na matarajio yake. Sijui alitaka kuruka ukuta maana....

sijawah kuwaza kuruka ukuta kwa huyu m2. Nadhani ukienda kununua bidhaa dukani lazima ujiridhishe bidhaa inaendana na pesa unayotoa au inayoendana na bidhaa.
 
uamuzi wangu kupiga perfomance ya nguvu au ya kibishoo kwa hiyo hata kabla hujaniambia mie nimeshajua .
Back to topic
we unaonaje amekosea hajakosea?
unaweza hisi kuwa performance yako ni ya nguvu kumbe kwa mwenzio anaona ni below par(hili kosa linafanywa sana na akina dada) kumwambia hajakosea lakini majority ya wanaume will never tell you-maana hapa unaweza break down mtu
 
heeee makubwa mwl kakutana na mwanafunzi kisha kashindwa kumfundisha

je mwl anapofundisha kila cku moja + moja jibu ni moja baada ya kufanya juhudi zote za kumpa mbinu za kupata jibu sahihi mwl achukue hatua gani?
 
unaweza hisi kuwa performance yako ni ya nguvu kumbe kwa mwenzio anaona ni below par(hili kosa linafanywa sana na akina dada) kumwambia hajakosea lakini majority ya wanaume will never tell you-maana hapa unaweza break down mtu

Ukweli unaweza kumtoa level moja kumpeleka nyingine
 
unaweza hisi kuwa performance yako ni ya nguvu kumbe kwa mwenzio anaona ni below par(hili kosa linafanywa sana na akina dada) kumwambia hajakosea lakini majority ya wanaume will never tell you-maana hapa unaweza break down mtu

wewe ndo katika wale ambao hauwezi kujifanyia assesment mwenyewe mpaka jirani au ndugu akufanyie pole sana maana mi si mmoja wao...
Sasa discuss topic.
Mimi nimeshamwambia kuwa amepatia wewe hata hujasema chochote zaidi ya kugandana na mie tu....
 
mkuu hao huwa tunawafundisha ,wanayaweza na kuyamudu na wakuja kupenda sana kufanya mapenzi.....inaelekea wewe bado mgeni wa haya mambo ,au hukuwa na hisia naye kabisa..... hebu muulize Husninyo kama huwa hawafundishwagi na wakafundishika hata kama ni mzuri vipi
 
Last edited by a moderator:
Noor,nadhani wewe kidogo una asili ya mashariki ya kati,usikute wewe ndo ,ulotaka kumfundisha yale ambayo siyo.
Pili_usione kwamba wewe kila kitu unajua, kama unabisha, nenda kesho jioni kinondoni makaburini, kula changu yoyote kisha mwambie akupe moja kati ya huduma zifuatazo: KIBOGOYO
CLOUDS
VODA FASTA
ZANTEL
Hapo utajiona uko katika kundi gani,
TATU;huyo mtu wako kimjini anaitwa MCHUZI WA NJANO A.K.A wa kienyeji,sasa unataka nini tena, au ndo na wewe WALEWALE :shut-mouth: :behindsofa: :gossip:
 
Helo. Kuna mdada alinisumbua kwa zaidi ya mwaka japo nilimpenda toka moyoni, nikavumilia kalenda zake. Baada ya kuninyanyasa kwa muda mrefu ikatokea akakubali tukawa nae kwa amani. Siku moja akanionjesha penzi lake sifichi hajui lolote na kutokana na hilo upendo wangu wote ukaisha ila nikana c vyema kumuacha kwenye mazingira ya kua kimya nikamwambia hanifai kwani HAJUI LOLOTE YUPO YUPO TU na mbaya zaidi hata akinifulia nguo naziona km hazijafuliwa. Je nilikosea?

dogo bhana!ulichokosea ni kutaka kutuaminisha kuwa ulimpenda 'toka moyoni'.
afu demu 'alikuonjesha' tu baada ya kukupiga sana kalenda,hakuwa amemaliza ufundi!na ungeenda nae ado ado ungemfaidi kinoma yani,kakupiga kalenda nyundo nzima?atakuwa anajitambua huyo.
anyway,poa tu ulivyofanya uache wajuzi wajifaidie.
butua uwaokoe wenzako!
 
[na mbaya zaidi hata akinifulia nguo naziona km hazijafuliwa.]

ulikuwa unahitaji mpenzi au housegirl... nunua washing machine nguo zitakate
 
Amu...Amu..mimi nakubaliana na maoni ya ziondaughter. Kwanza inategemea umeingia kwa hicho kitendo kwa kumpenda au mpita njia kama mzabzab na Amu.

Na kama yalikuwa ni mapenzi ya kweli sio tu mugegedo basi utatafuta njia ya kumjulisha na kumuelemisha.maana hamuna amezaliwa na huwo ujuzi. Kama ni upendo wa mzabzab,basi nenda zako bila kusema,after all she is better off without you! Hayo nasema kutokana na personal experience!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom