Je nimekosea kumwambia hajui mapenzi?

Je nimekosea kumwambia hajui mapenzi?

Noor

Senior Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
146
Reaction score
49
Helo. Kuna mdada alinisumbua kwa zaidi ya mwaka japo nilimpenda toka moyoni, nikavumilia kalenda zake. Baada ya kuninyanyasa kwa muda mrefu ikatokea akakubali tukawa nae kwa amani. Siku moja akanionjesha penzi lake sifichi hajui lolote na kutokana na hilo upendo wangu wote ukaisha ila nikana c vyema kumuacha kwenye mazingira ya kua kimya nikamwambia hanifai kwani HAJUI LOLOTE YUPO YUPO TU na mbaya zaidi hata akinifulia nguo naziona km hazijafuliwa. Je nilikosea?
 
Mkuu nadhani wewe ndio hujui mapenzi..

Mapenzi yanainvolve akili, hisia, confidence na utayari hata wewe ukikosa confidence au ukiwa na uoga unadhani uta-perform mkuu ?

It takes two to Tango mkuu haya mambo sio rocket science ni kuvumiliana na kuelekezana
 
Specifically ambacho hakijui kwenye kufanya mapenzi ni kipi? Hajui kukatika? Hajui kuguna? Hajui denda? Hajui kupapasa? Hebu funguka kwa uwazi zaidi Bw. Noor.....

hajui kuhandle mwanaume, denda pia anasema hajazoea nikawa najaribu kufundisha ila nikaona nimwambie ukweli inaweza msaidia hata kwa mtu mwingine atakae kua nae
 
Mkuu nadhani wewe ndio hujui mapenzi..

Mapenzi yanainvolve akili, hisia, confidence na utayari hata wewe ukikosa confidence au ukiwa na uoga unadhani uta-perform mkuu ?

It takes two to Tango mkuu haya mambo sio rocket science ni kuvumiliana na kuelekezana

Sun najua yote hayo yanahitajika. Kwa mara ya kwanza au ya pili unaelewa kua hapa game waweza haribu wewe au yeye. Ila nilishindwa baada ya kuona sipati ninachostahili
 
Acha upumbavu,kwanini ume mchezea ndo unamwambia hajui?
Mwanaume wa kweli kama ume mpenda mtu haumkimbii,MFUNDISHEEEE DAMN IT.
 
Hongera ww unajua..ila km ulimpenda nina hakika ungemfundisha..coz naamin hata ww hukuzaliwa unajua......
 
hajui kuhandle mwanaume, denda pia anasema hajazoea nikawa najaribu kufundisha ila nikaona nimwambie ukweli inaweza msaidia hata kwa mtu mwingine atakae kua nae

mfundishe vitu ambavyo unahisi anapaswa kujua, wewe pia ulizaliwa haujui kitu na hata sasa kuna vitu unahitaji kufunzwa.
 
Umekosea sana Mkuu. Hakuna anayejua mapenzi.Kinachotokea ni kwamba,kuna sehemu hukuta tunavyovihitaji.Hapo tunawasifu wenzi wetu na kuwaona wanajua.Lakini,kwa wengine hao hao nao hawajui. Ulichotakiwa kukifanya ni kumueleza kwa upole kama wakati unamtongoza na kumwambia namna unavyotaka awe na afanye. Angefundishika Mkuu...hukufanya fair
 
yaani unaonyesha ni vipi ulivyo limbukeni wa mapenzi.we hapo unajiona unajuuuuuuuuuua mavituz kumbe mshamba tu!and still u col uaselfu a jentomen????kowad
 
Mkuu nadhani wewe ndio hujui mapenzi..

Mapenzi yanainvolve akili, hisia, confidence na utayari hata wewe ukikosa confidence au ukiwa na uoga unadhani uta-perform mkuu ?

It takes two to Tango mkuu haya mambo sio rocket science ni kuvumiliana na kuelekezana

mmmh!
.
 
Specifically ambacho hakijui kwenye kufanya mapenzi ni kipi? Hajui kukatika? Hajui kuguna? Hajui denda? Hajui kupapasa? Hebu funguka kwa uwazi zaidi Bw. Noor.....

hamisi utasababisha tupelekwe jukwaa la wakubwa.
 
Tehe tehe.......umekurupuka dogo.........vidole vinne vinapoint kwako:glasses-nerdy:
 
hajui kuhandle mwanaume, denda pia anasema hajazoea nikawa najaribu kufundisha ila nikaona nimwambie ukweli inaweza msaidia hata kwa mtu mwingine atakae kua nae

kwa hiyo wewe ulikuwa on test tu kwake?
 
Ulikosea. Kama wewe unayajua kwanini usimfundishe? Kwani kumuacha kumemsaidia au kukusaidia nini? Je utaacha wangapi hasa ikizingatiwa kuwa kizazi cha dot com kinao wengi wa namna hii? Je ungekuwa wewe ndiye yeye na yeye ndiye wewe ungetaka akufanyie nini? Je ingetokea akwambia kuwa nawe hujui mapenzi ungejisikiaje? Je wajua kuwa mkuki ni kwa nguruwe? Je una uhakika kuwa unachodhani ni kujua mapenzi kwako kwaweza kuwa kinyume?
Helo. Kuna mdada alinisumbua kwa zaidi ya mwaka japo nilimpenda toka moyoni, nikavumilia kalenda zake. Baada ya kuninyanyasa kwa muda mrefu ikatokea akakubali tukawa nae kwa amani. Siku moja akanionjesha penzi lake sifichi hajui lolote na kutokana na hilo upendo wangu wote ukaisha ila nikana c vyema kumuacha kwenye mazingira ya kua kimya nikamwambia hanifai kwani HAJUI LOLOTE YUPO YUPO TU na mbaya zaidi hata akinifulia nguo naziona km hazijafuliwa. Je nilikosea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom