VP Mpango tuna kuhitaji kusimama na kumsaidia Raisi kwenye masuala ya mikopo ya nchi na wizara ya fedha badala ya kukaa kinyonge nyonge kila siku.
Hauja chaguliwa kwasababu ya upole pekee lakini ni kwasababu ya uwezo wako mkubwa kwenye miradi na kujua fedha sasa hata kwenye miradi na mikutano umekuwa unaikimbia au kukimbizwa kama hayakuhusu.
Watanzania tusiogope kumlaulu huyu VP.
Hauja chaguliwa kwasababu ya upole pekee lakini ni kwasababu ya uwezo wako mkubwa kwenye miradi na kujua fedha sasa hata kwenye miradi na mikutano umekuwa unaikimbia au kukimbizwa kama hayakuhusu.
Watanzania tusiogope kumlaulu huyu VP.