Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,214
- 113,527
Don't go too far. Cheating is everywhere; iwe kwenye uchumba au kwenye ndoa. Na siyo wote wanacheat ingawa watu wanaocheat wanasemekana ni wengi. I am not among them.
Ninachomaanisha ni kuwa kuishi single siyo suluhisho la ukimwi na other heart-breaking encounters. Huwezi kuipenda ngoma inayochezwa mbali na hata sauti zake husikii. Kaingie hadi kilingeni ucheze ili uwe na upande. Mimi ninao na ndiyo maana ninaongelea uzoefu wangu. Lakini sina maana kuwa hakuna watu wanaoumia kwenye ndoa kama vile ambavyo kuna wale wanaofurahia. Halafu kwenye ndoa hakuna suala moja tu la ukimwi na DNA. Yapo mengi tu. Ukijenga wasi wasi basi wewe pressure itakaa kwenye 150/120 mmHg milele and your days will be just numbered!
Kama ni uzoefu tu hata mimi naongelea kutokana na uzoefu wangu na niliyoyaona na ninayoendelea kuyaona. Marriage is not thing and I'm not opposed to others getting married. Heck, if they want to...they should knock themselves out.
And everyone's days are numbered irregardless. And I'm curious, where in this thread did you say the foundation of marriage is trust?