MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Habari ndugu
naombeni tusaidiane kuelewana kina wapwa na binamu kwa sababu - kwa wanaume rahisi kuwaambia wake zenu mkacheck vinasaba (DNA) kwa watoto wenu at the same time ni ngumu kwenu mkiombwa mkacheck afya zenu (HIV/AIDS/STDs)? hasa pale ambapo kumekuwa na umbali kidogo kati yako na mwenzi wako either due to kika au masomo? (Yaani kama kuna separation ya aina flani)
Na kina dada naambiwa nasi tu wagumu kukubali kucheck vinasaba- pamoja na ukimwi
Je mnataka tuamini ule usemi kuwa wanaume hawawezikukaa bila kumega nje?
Na je mnapomega nje huwa hamtumii kinga? Maana kama mnatumia kwa nini mnaogopa sana kucheck afya?
Nisaidieni tafadhali
naombeni tusaidiane kuelewana kina wapwa na binamu kwa sababu - kwa wanaume rahisi kuwaambia wake zenu mkacheck vinasaba (DNA) kwa watoto wenu at the same time ni ngumu kwenu mkiombwa mkacheck afya zenu (HIV/AIDS/STDs)? hasa pale ambapo kumekuwa na umbali kidogo kati yako na mwenzi wako either due to kika au masomo? (Yaani kama kuna separation ya aina flani)
Na kina dada naambiwa nasi tu wagumu kukubali kucheck vinasaba- pamoja na ukimwi
Je mnataka tuamini ule usemi kuwa wanaume hawawezikukaa bila kumega nje?
Na je mnapomega nje huwa hamtumii kinga? Maana kama mnatumia kwa nini mnaogopa sana kucheck afya?
Nisaidieni tafadhali