KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,886
- 40,068
Tupo pamoja sana mkuu......Ujue umeingia kwenye kundi la watu ambao napenda sana kuwasoma hapa jamvini. Ahsante sana Mkuu.
Tupo pamoja sana mkuu......Ujue umeingia kwenye kundi la watu ambao napenda sana kuwasoma hapa jamvini. Ahsante sana Mkuu.
Tupo pamoja sana mkuu......
Hahahaha!!! Wewe utakuwa ni mura nini?(joking) sasahivi ongea tu baba yangu ukipenda na ukaingia kwenye real life utajikuta tu kuna visheria vinavunjika vyenyewe............
Umeona eeeh na tena na kilio juu lakini kufua tu analeta maneno marefuuuu:screwy:
Shukrani kaka.......Nilitaka kukutilia Rep Power ila naona zimefikia limit iliyowekwa hivyo chukua Rep Power za maneno tu Billioni.
Ujue umeingia kwenye kundi la watu ambao napenda sana kuwasoma hapa jamvini. Ahsante sana Mkuu.
Sawa dada yangu endelea kuniombea.......KikulachoChako yupo vizuri kwa kweli....hata mimi nikiona comment yake napenda kuisoma.......sema tu ana shida na watoto wa kike alisema hawapendi watoto wa kike sijui kwa nini.....ingawa namwombea aachane na imani mbaya kwa watoto wa kike......
Kila mmoja wetu hujisika raha pale anapojua kuwa kuna mtu ambaye anamjali, kumthamini na kutambua uwepo wake hapa duniani....na hapo ndipo zinapojengeka nguzo imara za penzi....ni ukatili ulioje ukimuoa kipenzi cha roho yako akiwa hajiwezi kitandani...alafu wewe unagoma hata kumsaidia kumfulia nguo.....ni ukatili ulioje kwa yule uliyekuwa unadai kuwa huwezi kuishi bila yeye.....lakini leo hii anaumwa unashindwa hata kumsindikiza kumpeleka hospitali kwa sababu watu watakucheka.....????...........MAPENZI NI YA WAWILI...
Honey Faith everlenk Ikiwa mnaamini hizo ni promo muamini pia wanaume wote wanaosha nguo za ke wao. Hap akina Eli79, Kikulacho chako na wengineo ni wazuri kitheory na kimkakati! (mvaage miwani sku moja moja)
eve kwenye uchumvi uchumvi usikufananishe na kufua. Simple qn: Nisipozama mimi atazama nani?
Asante mtani ni jambo zuri pale unapomfurahisha mtu na ni jambo baya kumkera mtu......kwani tumeagizwa upendoMtani you always make me happy aiseee napenda ninachokisoma kwako
Aaaaha kama anatatizo nitafua.... Ila kwa hawa wanawake wetu wa siku hizi naona unakaribisha tu dharau za reja reja.
Katika pita pita zangu nkakutana na mwanaume anafua nguo za kike, hata nilipojaribu kusogeza karibu mboni za macho yangu ili kushuhudia kitendo hiki jamaa alichokuwa anakifanya, ndipo macho yetu yalipokutana na kumuona jamaa akijiskia aibu na kuanza kuangalia chini, naam hali hii ilinifanya nijiulize je haya ni mapenzi au adhabu?
Hapa hatubishani MankaM ni mawazo huru tu, if kufua nguo za ke sio tatizo sidhani kama hii mada ingekuepo hapa.
Kwani weye utaridhika siku unaskia mtoto wako wa kiume anafua nguo za mkewe?