Je, ni sawa mwanaume kumfulia nguo mwanamke?

Je, ni sawa mwanaume kumfulia nguo mwanamke?

Bright Smart;
Nashindwa kuamini kuwa leo karne hii kuna watu wanaoishi kwa kusikiliza maneno ya huko kitaa. Sitegemei yupo mtu wa jinsi hiyo. Tutoke huko sasa. Siogopi kufua nguo ya My Wife hata siku moja. Siogopi kupika ugali nimletee mezani hata siku moja. Tena yeye yupo hapo na mtoto wetu mchanga.
Usipovuka hapo, weye ni wa ajab saana. Mkeo ni mtu ka weye pia. Mnatoka asubuhi, mnaenda kazini, mnachoka wote kwenye foleni, iweje weye mmefika pamoja nyumbani ujilalie hapo, mwenzio ananyonyesha mtoto, weye unaogopa hata kuweka mboga jikoni ati ni kazi ya kike??
Basi hata kula iwepo na chakula cha kike. Tumeoana hakuna bora zaidi

Ukizungumzia wife kibongo bongo wapo wa dizain tofauti tofauti...Sio kila wife anastahili kufanyiwa upendo wa hivo, wale watoto waliokulia uswahilini hawakawilii kuona picha kali mkuu mangatara
 
Last edited by a moderator:
Isiwe sheria au zamu Mimi binafsi naweza Fanya hiyo kazi by supplieeessss au kama kunatatizo na lazima mwanamke atambue kuwa hill in jukumu lake maana ukijisahau kidogo tu imekula kwakooo utakuwa unafua. Kuosha vyombo na kupika kila siku take care kusaidiana kupo ila kiasi tu
 
Ukizungumzia wife kibongo bongo wapo wa dizain tofauti tofauti...Sio kila wife anastahili kufanyiwa upendo wa hivo, wale watoto waliokulia uswahilini hawakawilii kuona picha kali mkuu mangatara

Waswahili hao hao wanasema; Samaki mkunje yu angali mbichi. Unapomleta nyumbani tu, mfundishe maisha mema na bora.
Kumbuka, si wote wanayajuaga hata mapenzi, lazima umfundishe kivyako vyako. Mpe mapenzi akikumbuka kuchepuka apagawe.
Wangu ntamfulia hata pichu kwani ni wangu huyooo. Wangu ntampikia hata ugali kwani wangu huyooo. Huwa naona uchungu sana akitoka clinic na mtoi. Alimbeba tumboni, leo hata miye kumbeba huyo mtoi ni nongwa? Jamani tusiishi kwa maneno ya kitaa, hakika hatufiki
 
What's wrong with it?? Love like you never loved before . Be happy like you never be happy before.. Because our days are by numbers . The time to Love and be Happy its now . Otherwise we will ending up by saying " If I knew it, if I knew it " . It will be too late by then.. Love is actions and Faith without action is dead.. Wakati unaokubalika ni now fellows .. Do right, Love right and Pray right. Remember happiness is what is inside of you. Thanks..
 
What's wrong with it?? Love like you never loved before . Be happy like you never be happy before.. Because our days are by numbers . The time to Love and be Happy its now . Otherwise we will ending up by saying " If I knew it, if I knew it " . It will be too late by then.. Love is actions and Faith without action is dead.. Wakati unaokubalika ni now fellows .. Do right, Love right and Pray right. Remember happiness is what is inside of you. Thanks..


Hujambo??
 
Kila mmoja wetu hujisika raha pale anapojua kuwa kuna mtu ambaye anamjali, kumthamini na kutambua uwepo wake hapa duniani na hapo ndipo zinapojengeka nguzo imara za penzi ni ukatili ulioje ukimuoa kipenzi cha roho yako akiwa hajiwezi kitandani.

Alafu wewe unagoma hata kumsaidia kumfulia nguo ni ukatili ulioje kwa yule uliyekuwa unadai kuwa huwezi kuishi bila yeye lakini leo hii anaumwa unashindwa hata kumsindikiza kumpeleka hospitali kwa sababu watu watakucheka.?

Mapenzi ni ya wawili

Umenena kaka
 
Mapenzi ni kitu kingine ero! Wenzio wanavimba viguu na kula udongo on behalf sembuse hii kufua tu? Jambo lolote litakalofanywa chini ya shinikizo ni batili, hata kama ni kupenda kwa kulazimishwa/lazimisha!
Huko kula udongo on behalf ni changamoto aisee
 
Shida iko wapi si unaweka kwenye washing machine tu ikimaliza unatupia kwenye dryer kazi kwisha anakuja kukunja mwenyewe, au inawahusu wasio na washing machine?.
 
Ni sawa haina shida mbona unafua tu.
NB : uwe 100% uhakika wakwako tu.
 
Jumapili ndiyo siku pekee ninayoshinda nyumbani, jumapili ndiyo siku ninayompokea mwenzangu majukumu yake walau na yeye apumzike. Nafua zangu, zake na za watoto wote waliopo nyumbani siku hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom