Je, ni sawa mwanaume kumfulia nguo mwanamke?

Je, ni sawa mwanaume kumfulia nguo mwanamke?

mbona sie tunafua bila hiyana,kama unapenda fua,kama hupendi acha
 
wewe unaona ni sawa sawa kuwa na mwanaume anayekufulia nguo!!??, utakua ni mwanamke wa ajabu sana kutaka kuwa na mwanaume inferior, imagine mwanaume wako mtaani wanamuita Bushoke sababu ya kukufulia nguo utakua unajisikiaje!!??

Bright Smart;
Nashindwa kuamini kuwa leo karne hii kuna watu wanaoishi kwa kusikiliza maneno ya huko kitaa. Sitegemei yupo mtu wa jinsi hiyo. Tutoke huko sasa. Siogopi kufua nguo ya My Wife hata siku moja. Siogopi kupika ugali nimletee mezani hata siku moja. Tena yeye yupo hapo na mtoto wetu mchanga.
Usipovuka hapo, weye ni wa ajab saana. Mkeo ni mtu ka weye pia. Mnatoka asubuhi, mnaenda kazini, mnachoka wote kwenye foleni, iweje weye mmefika pamoja nyumbani ujilalie hapo, mwenzio ananyonyesha mtoto, weye unaogopa hata kuweka mboga jikoni ati ni kazi ya kike??
Basi hata kula iwepo na chakula cha kike. Tumeoana hakuna bora zaidi
 
Yani hayo ndiyo mahaba yenyewe sasa,yani mie nikimpata na wakunipikia ntampendaje.embu rudi tena ukamuangalie sasa ivi,maana unaweza mkuta njemba anakuna nazi tena huku anatabasamu.hahahahahahaaa!hayo ndiyo mahaba ninyonge.

ahahahahaha! mbona kufua alinuna?
 
Ndo inavyotakiwa..mie binafsi nkiwa npo free ntamfulia nguo zake mke wang hata chupi zake

Bandallah you are a real man..unajua kinachosumbua watu wengi humu ni ushamba na lack of exposure...kwa mtu aliyezaliwa na kukulia Tarime kuona hili jambo alijakaa sawa naweza kumuelewa, but kwa mtu wa kawaida namshangaa anaposhangaa....watu wanachukulia as if ukimfulia wife/gf it will reduce your mahnood!!!! mawazo mgando is a name for it.

AFTER ALL KATIKA NYUMBA ZA WATU WANAOJIELEWA HAKUNA KAZI YA KIKE, UKINIAMBIA KWENDA LABOR NITAKUELEWA, LAKINI SIJUI KUPIKA, KUFUA, GARDENING N.K ZOTE WAPENZI WANASHIRIKIANA.

"thus a woman shall leaver her mother and her father and follow her husband and they shall become one flesh" kama unakubali umekuwa mwili mmoja na mkeo, ina maana kutomfulia ni kutojifulia wewe mwenyewe.

this is 2015 boy! acha mawazo na misimamo ya 14th Century, grow up for Chrissake!
 
Bandallah you are a real man..unajua kinachosumbua watu wengi humu ni ushamba na lack of exposure...kwa mtu aliyezaliwa na kukulia Tarime kuona hili jambo alijakaa sawa naweza kumuelewa, but kwa mtu wa kawaida namshangaa anaposhangaa....watu wanachukulia as if ukimfulia wife/gf it will reduce your mahnood!!!! mawazo mgando is a name for it.

AFTER ALL KATIKA NYUMBA ZA WATU WANAOJIELEWA HAKUNA KAZI YA KIKE, UKINIAMBIA KWENDA LABOR NITAKUELEWA, LAKINI SIJUI KUPIKA, KUFUA, GARDENING N.K ZOTE WAPENZI WANASHIRIKIANA.

"thus a woman shall leaver her mother and her father and follow her husband and they shall become one flesh" kama unakubali umekuwa mwili mmoja na mkeo, ina maana kutomfulia ni kutojifulia wewe mwenyewe.

this is 2015 boy! acha mawazo na misimamo ya 14th Century, grow up for Chrissake!

Yeah sure kabisa.. yaani hapo umemaliza kila kitu mkuu.. umefikisha ujumbe.. i hope watu watabadilika.
 
Bright Smart;
Nashindwa kuamini kuwa leo karne hii kuna watu wanaoishi kwa kusikiliza maneno ya huko kitaa. Sitegemei yupo mtu wa jinsi hiyo. Tutoke huko sasa. Siogopi kufua nguo ya My Wife hata siku moja. Siogopi kupika ugali nimletee mezani hata siku moja. Tena yeye yupo hapo na mtoto wetu mchanga.
Usipovuka hapo, weye ni wa ajab saana. Mkeo ni mtu ka weye pia. Mnatoka asubuhi, mnaenda kazini, mnachoka wote kwenye foleni, iweje weye mmefika pamoja nyumbani ujilalie hapo, mwenzio ananyonyesha mtoto, weye unaogopa hata kuweka mboga jikoni ati ni kazi ya kike??
Basi hata kula iwepo na chakula cha kike. Tumeoana hakuna bora zaidi

I could not have said it better than that......tatizo watu karne hii eti bado wanaishi through other people's eyes...at the end of the day kila kitu unakiface we na mkeo tu, unaowaogopa wapo makwaooo wanakula bata
 
I don't know how to explain to you by the way. Unaweza lakini sio kwa kulazimishwa my be she's doing something else or she's sick just like that.but not by force

swissme

nipo na wewe, she is doing something else, I do the washing... na ninaposema doing something else inaweza kumean hata kama amepumzika sababu ya uchovu na mimi nipo fresh...au hata kama tumepangiana hivyo katika mgawanyo wa kazi za siku hiyo

kwa suala la force hapo siwez, I cant even *** her iwapo ataforce nimdoo
 
Katika pita pita zangu nkakutana na mwanaume anafua nguo za kike, hata nilipojaribu kusogeza karibu mboni za macho yangu ili kushuhudia kitendo hiki jamaa alichokuwa anakifanya, ndipo macho yetu yalipokutana na kumuona jamaa akijiskia aibu na kuanza kuangalia chini, naam hali hii ilinifanya nijiulize je haya ni mapenzi au adhabu?

Mimi naona muuliza angekutuambia mabishano tuyalenge katika ramadhani za Kiafrika au duniani kote maana huko duniani wanaume wana fanya mengi Sana ambapo kufua nguo Mbona cha mtoto nyie. Mwenye mada tafadhali tupatie upeo wa majumuisho.
 
Kwa mujibu wa dini yangu hata kukupikia ni swadaka tu, yaani jambo la hiyari kwake na akifanya anapata thawabu, maana amejitolea.
 
Mapenzi ni kitu kingine ero! Wenzio wanavimba viguu na kula udongo on behalf sembuse hii kufua tu? Jambo lolote litakalofanywa chini ya shinikizo ni batili, hata kama ni kupenda kwa kulazimishwa/lazimisha!
 
suala siyo ku impress jamii, suala la msingi ni vipi unaishi kwenye jamii maana hauishi kwenye vacuum hivyo basi suala la jinsi gani unaishi kwenye jamii halitakuja kuisha milele...

We bado kijana ni mambo mengi sana yamebadilika kuhusu tunavyoishi kwenye jamii zetu na ndio maana tunaona mambo ya ajabu yanafanyika na watu hawajali so hili la mwanaume kufua nguo ni dogo sana wala lisikuumize kichwa as long as mwanaume anakuwa health na familia yake iko na furaha mengine are non of ur business.
 
Kwani mwanamke anapofua nguo za mumewe ni lazima?
 
aaisee hivi nyie wanaume mnatuona sisi kama machine et eeeh?basi tu ngoja nipite kimyakimya.
 
Katika pita pita zangu nkakutana na mwanaume anafua nguo za kike, hata nilipojaribu kusogeza karibu mboni za macho yangu ili kushuhudia kitendo hiki jamaa alichokuwa anakifanya, ndipo macho yetu yalipokutana na kumuona jamaa akijiskia aibu na kuanza kuangalia chini, naam hali hii ilinifanya nijiulize je haya ni mapenzi au adhabu?

Tuweke Sawa Ili Tutiririke Je Ni Nguo Za Kike au Ni Kufuli ( C.H.U.P.I ) Za Kike? Nijibu Chap Chap Ili Nifunguke Na Makavu Yangu Live.
 
Kwa mahubiri ya jana ya mzee wa upako nilitegemea mada kama hii JF, hakuna ubaya wowote alimradi anafanya hivyo kwa moyo wa upendo na si kulazimishwa.
Mtani yule shemeji yangu anakufulia?? Mi namfulia wifiyo mpaka andawea, kwa raha zangu.
 
Ujue umeingia kwenye kundi la watu ambao napenda sana kuwasoma hapa jamvini. Ahsante sana Mkuu.

Hata mimi huyu jamaa ananifurahishaga sana nikisoma comment zake napatwa na faraja fulani na matumaini kwamba there are still amazing beings out there...with such positive attitude and embrasement towards life.....Anakonga nyoyo za wengi..kwa upande mwengine nakubaliana na sister pia kuhusu mtazamo wake wa watoto wa kike uko hasi!!Big up mkuu KikulachoChako!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom