ni sawa tu, ingekuwa si sawa basi madobi wa kiume wangefua za kiume tu, kwa kuwa hakuna madhara yoyote kwamba ukifua utabadilika jinsia mie naona haina tatizo.
yaani hizi fikra za dot.com zinawafanya baadhi ya wanawake kukwepa majukumu yao, eti anafurahia mwanaume kumfulia nguo anasahau kuwa na yeye pia anajidhalilisha kwa kuwa na mwanaume anayeonekana kituko mbele ya jamii kwa maana hayo sio mapenzi bali ni ubwege wa hali ya juu...
ahahahahahhaaaaaaaaaaaa_another man.
Man be polite,don't take your wife like dude.Wanaume wenye chembe chembe za umario ndio wanaona hakuna ubaya kumfulia nguo mwanamke,..
Maisha ya zamani hata wazee walisaidiana kazi sio kumfanya mwanamke kuwa mtumwa wako eti kwasababu ni mke lazima kazi zote hazifanye.
swissme
I don't know how to explain to you by the way. Unaweza lakini sio kwa kulazimishwa my be she's doing something else or she's sick just like that.but not by force
swissme
acha ushamba wako: dunia ya leo unajiuliza ni sawa fulani kumfanyia fulani? Ishi na tembelea jamii mbalimbali utajua ni sawa. Tena bila hata ya kuumwa mwanaume anafua kwa roho nyeupe it al depends na amezoaje alivyokuwa na amekuwa exposed kiasi gani na anafanya kwa nia gani . Period
Mkuu achana na haya mambo. Nyumba zina mambo mengi. Ina maana wewe huwezi mfulia mkeo nguo?
Yawezekana anaumwa
Au yawezekana huyo mwanaume yupo kazini yaani DOBI
Conclusion it depends on the situation. ( Mimi huwa nikiwa naumwa au kipibdi mjamzito au nimejifungua huwa ananifulia)
yaani hizi fikra za dot.com zinawafanya baadhi ya wanawake kukwepa majukumu yao, eti anafurahia mwanaume kumfulia nguo anasahau kuwa na yeye pia anajidhalilisha kwa kuwa na mwanaume anayeonekana kituko mbele ya jamii kwa maana hayo sio mapenzi bali ni ubwege wa hali ya juu...
Wanaume wenye chembe chembe za umario ndio wanaona hakuna ubaya kumfulia nguo mwanamke,..
Maisha ya zamani hata wazee walisaidiana kazi sio kumfanya mwanamke kuwa mtumwa wako eti kwasababu ni mke lazima kazi zote hazifanye.
swissme
Kukusaidia kazi si lazima nikufulie.
Ni lazima kuwe na mipaka ktk kusaidiana huko. eti uko bize or uvivu tu nijidai nakupenda sana nikufulie!!!!!! HAPANA.
Pole dot.com hawaishi kwa ajili ya kuimpress jamii wanaishi kwa ajili ya mambo yao tu. Mambo ya kuangalia jamii yalishaisha kitambo
Ulishawahi kuosha vyombo.Kukusaidia kazi si lazima nikufulie.
Ni lazima kuwe na mipaka ktk kusaidiana huko. eti uko bize or uvivu tu nijidai nakupenda sana nikufulie!!!!!! HAPANA.
Maisha kusaidiana jamani.Kwani ukifua uanaume wako unabadilika?
Kwanini usifue mwenyewe?