mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 407
Haki sawa kwa wote 50/50
Haina ubaya ni kusaidiana na kugawana majukumu tu
Haina ubaya ni kusaidiana na kugawana majukumu tu
Yeah! Obviously, you have such kind of duty. you will see how i care when you have a reasonable excuse. otherwise why dont you wash ba yourself?Mbona mie nafua za kwako?
Mwanaume mzima umbea tu
Yeah! Obviously, you have such kind of duty. you will see how i care when you have a reasonable excuse. otherwise why dont you wash ba yourself?
Mi huwa nafua tena sana sababu kubwa ni kwamba mke yupo busy kuliko mimi na tumejiwekea utaratibu nguo zetu zisifuliwe na msichana wa kazi, kwa hiyo nikikuta kapu limejaa nguo nazifua kama kawa na sichagui eti ya ndani au ya nje nafua zote mradi ni nguo.
nimekupenda bure
Mmmh! Upendo huu i say NO.
Mbona mie nafua za kwako?
Kwanini?....kuna wakati mazingira yatakubidi ufanye kwa mtu unayempenda huwezi vumilia kumuona amezidiwa na shughuli na wewe upo tu huna kazi.
Excuse ni kuumwa tu. Kivipi kazi zimzonge? kwanini asipangilie wakati kufua unaweza kuhairisha hata siku tatu?
Daah umenifanya nicheke kwa nguvu hadi niliyekaa nae karibu kashangaa