Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Nimesoma thread ya mdogo wangu beibe nasty nikakumbuka na Mimi predicament inayonikabili Kwangu nikaona nisimjazie thread yake.
Now...
Kwanza, Kama unaishi peke yako (bachelor), je ni sahihi Kuwa na ratiba ya kupika? (maana kuna siku kichwa kinauma kabisa umetoka zako job naanza kuwaza utapika nini).
Jamani kwa wale ambao ni ma-bachelor wenzangu au wale mliokwisha kupitia huku pliz help me with your experiences.
Na swali lingine la nyongeza, ni vyakula gani uliviweka kwenye ratiba ukizingatia i mainly cook supper...labda weekend ndo napika na mchana.
Natanguliza shukrani.
King'asti nimeona umetoa mapoint kweli pale kwa dadangu..njoo unisaidie.
Now...
Kwanza, Kama unaishi peke yako (bachelor), je ni sahihi Kuwa na ratiba ya kupika? (maana kuna siku kichwa kinauma kabisa umetoka zako job naanza kuwaza utapika nini).
Jamani kwa wale ambao ni ma-bachelor wenzangu au wale mliokwisha kupitia huku pliz help me with your experiences.
Na swali lingine la nyongeza, ni vyakula gani uliviweka kwenye ratiba ukizingatia i mainly cook supper...labda weekend ndo napika na mchana.
Natanguliza shukrani.
King'asti nimeona umetoa mapoint kweli pale kwa dadangu..njoo unisaidie.
Last edited by a moderator: