Je, ni sahihi waziri kufanya shughuli za Kiserikali akiwa amevaa gwanda za CCM?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

Mche.jpg
Mchenge.jpg
 
Hao Viongozi Wakibanwa Wanapokosea Hujificha Ndani Ya CCM
Kwanza Hawajui Dressing Code
Nguo Zao Zinavaliwa Wapi, Endapo Kazi Ni Ya Serikali Wavae Vp
Tazama Maajabu Muda Wanamsifia Hanganya
Aliyepita Hivyo Hivyo
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu Zangu In jiwe Voice
 
Katiba itakataza mavazi 🤣🤣🤣 hiyo katiba itakua kitabu kikubwa kuwahi kutokea duniani.
Hili nalo ni tatizo, ndani ya katiba kuna kifungu kinachokataza kuchanganya shughuri za serikali na vyama vya siasa, mbona bungeni bado wanaendelea kutekeleza hilo.
 
Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

View attachment 2841191View attachment 2841192
Unafikiri wanajari ... CHAMA KIMESHIKA UTAMU ...... Halafu Rais ndiye Mama Mkwe unategemea nini....!!?
 
Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

View attachment 2841191View attachment 2841192
Wakili Madeleka yupo Mitaa jirani na hapo? Ebu mwambie amfungulie kesi Waziri kwa kosa la kuvaa shati la rangi ya kijani akiwa Mtumishi halali wa Serikali! Fanya chap Dogo!!
 
Amevaa vazi la rangi ya kijani au amevaa sare ya chama?

Kinachoonyesha kwamba amevaa sare ya chama ni kitu gani?

Je, kwa Tanzania mtu anaweza kuwa waziri bila kuwa Mbunge?

Mtu anaweza kuwa Mbunge kama siyo mwanachama wa chama cha siasa?
 
Back
Top Bottom