Je, ni sahihi mke kudai mume afute kumbukumbu za picha za mkewe wa zamani?

IslamTZ

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
309
182
Jamaa yangu mmoja alioa akapata watoto watatu katika ndoa ya kwanza kisha wakatalikiana na mkewe kwa sababu zisizoweza kuzuilika.

Baada ya muda, jamaa akaoa tena. Mke mpya ana wivu balaa. Sasa imefika wakati mke anataka mume afute kumbukumbu zote za picha za familia yake ya kwanza kwenye laptop zake.

Ingawa lengo ni kumfuta yule mke wa kwanza, lakini unakuta picha nyingi ni za kifamilia ambapo kuna jamaa, mkewe huyo wa zamani na watoto. Baadhi ya picha ni za harusi yao.

Presha ya kutakiwa afute, aziharibu picha ni kubwa lakini jamaa anasita kwa sababu hizi ni kumbukumbu ya maisha yake. Jamaa ana stress balaa. Hebu tumshauri.
 
Hakutakiwa kuoa kwa sasa, bali angetafuta nyumba ndogo ili atulize maumivu; anapoelekea ataumizwa zaidi. Cha kumshauri, asimame kama mwanaume asimsikilize mke mdogo lasivyo atapotea
 
Jamaa yangu mmoja alioa akapata watoto watatu katika ndoa ya kwanza kisha wakatalikiana na mkewe kwa sababu zisizoweza kuzuilika. Baada ya muda, jamaa akaoa tena. Mke mpya ana wivu balaa. Sasa imefika wakati mke anataka mume afute kumbukumbu zote za picha za familia yake ya kwanza. Ingawa lengo ni kumfuta yule mke wa kwanza, lakini unakuta picha nyingi ni za kifamilia ambapo kuna jamaa, mkewe huyo wa zamani na watoto. Baadhi ya picha ni za harusi yao.
Presha ya kutakiwa afute, aziharibu picha ni kubwa lakini jamaa anasita kwa sababu hizi ni kumbukumbu ya maisha yake. Jamaa ana stress balaa. Hebu tumshauri.
Wewe umemshauri nini ?

Usikute wewe ndiye mhusika

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Kuna online platforms kama GoogleDrive, OneBox, OneDrive etc za kustore kumbukumbu kama hizo picha n.k...

Mwambie rafiki yako aziweke huko, hata kama kwenye PC hazitakuwepo tena lakini atakuwa nazo kwenye cloud storage...

La hasha, atengeneze folder ambalo litakuwa "hidden" na aweke huko hizo kumbukumbu za picha...

Ishu ndogo mbona hizo kudeal na huyo zumbukuku...
 
Dah wanaume mbona tumekuwa na malalamiko sana siku hizi... Ni kwamba wanawake wanatukimbiza au hakuna pa kusemea..!?

Hili sasa ni swala ambalo Jamaa alitakiwa kulimaliza kiume tu kwa kuongea na huyo mpenzi wake,,,, sasa kama hadi linampa stress maana yake hata yeye hajui asimamie wapi... Coz angetoa msimamo wake wasingefika huko...

Sasa siku hizi kitu kidogo tu mtu anataka public opinion ili aka solve...


Aaarrrg... Mwambie afute tu hizo picha ili asamehewe... Maana hana jeuri ya kufanya tofauti na hvo...
 
Jamaa yangu mmoja alioa akapata watoto watatu katika ndoa ya kwanza kisha wakatalikiana na mkewe kwa sababu zisizoweza kuzuilika. Baada ya muda, jamaa akaoa tena. Mke mpya ana wivu balaa. Sasa imefika wakati mke anataka mume afute kumbukumbu zote za picha za familia yake ya kwanza kwenye laptop zake. Ingawa lengo ni kumfuta yule mke wa kwanza, lakini unakuta picha nyingi ni za kifamilia ambapo kuna jamaa, mkewe huyo wa zamani na watoto. Baadhi ya picha ni za harusi yao.

Presha ya kutakiwa afute, aziharibu picha ni kubwa lakini jamaa anasita kwa sababu hizi ni kumbukumbu ya maisha yake. Jamaa ana stress balaa. Hebu tumshauri.
Mwambie jamaa yako azi upload Google Photo, atakua anaweza kuzi access ye mwenyewe tu huko zitakaa hata miaka na zaidi 10+ mbele nata akibadili kifaa mara 1000+ ziko salama tu labda azifute na huko..

Yaani tech imerahisisha mambo hivi afu anapata stress kijinga tu. Hata kwenye lapy anaweza kuzificha kuna namna na mkewe asipate access nazo..
 
Sasa alioa nini ka anabaki na kumbukumbu za mkewe na picha, huwa ni hatari ku date mwanaume aliye divorce wengi huwa ni machungu na kutaja taja tu ex wife. Hata ningekuwa Mimi umenioa uanze ujinga wa ex wife utajua hujui.
 
Jamaa yangu mmoja alioa akapata watoto watatu katika ndoa ya kwanza kisha wakatalikiana na mkewe kwa sababu zisizoweza kuzuilika.

Baada ya muda, jamaa akaoa tena. Mke mpya ana wivu balaa. Sasa imefika wakati mke anataka mume afute kumbukumbu zote za picha za familia yake ya kwanza kwenye laptop zake.

Ingawa lengo ni kumfuta yule mke wa kwanza, lakini unakuta picha nyingi ni za kifamilia ambapo kuna jamaa, mkewe huyo wa zamani na watoto. Baadhi ya picha ni za harusi yao.

Presha ya kutakiwa afute, aziharibu picha ni kubwa lakini jamaa anasita kwa sababu hizi ni kumbukumbu ya maisha yake. Jamaa ana stress balaa. Hebu tumshauri.
Azi save kwenye www.photos.google.com aziondoe kwenye phone storage
 
Watoto watatu kakimbilia kuoa,,ajabu sana.kwann asitafute wa kupozea tu
 
Sasa alioa nini ka anabaki na kumbukumbu za mkewe na picha, huwa ni hatari ku date mwanaume aliye divorce wengi huwa ni machungu na kutaja taja tu ex wife. Hata ningekuwa Mimi umenioa uanze ujinga wa ex wife utajua hujui.
Kumbuka yule ni mama watoto wake we zumbukuku
 
Back
Top Bottom